Mpaka sasa nimepoteza $300 kwenye forex

Mpaka sasa nimepoteza $300 kwenye forex

Hooooo....mi niliogopa sana hyo business na bdo sijashawishika....sasa sjui nianzeeeeeee......!!!!??
 
dhaa mimi niliunguza account kizembe sana nili kuwa napata faida tu sasa kuna soko moja lilikuwa la huakika sasa emotion ndo ilizidi kuamini na doble pesa nikajikuta dollar 400 imekuwa dolla 20 na hatimaye kuwa dollar 0.9 hadi sasa nasikilizia mtaji nirudi tena.
 
Dah kweli vyuma vimekaza...hizi habari za forex zilikuwa hazivumi enzi za mkwere
 
Tangu niijue hii biashara ya forex kupitia Uzi wa Ontario, ni takribani miezi 7. Sikuwahi kusoma wala kupitia mafunzo yoyote Yale. Wala sinaga mentor.

Nilipoona Uzi wa jamaa na nikajua kuna uwezekano wa kupiga hela, nilienda moja kwa moja google kusearch nilichokisoma kutoka jf. Nilikutana na maelezo mengi sana. Nili download plattform na nikaanza kufanya demo. Japo nilikua sijui una place vipi order, lakini kwa kupitia video za YouTube, niliweza kujua. Nilinda na demo kwa takribani wiki mbili, nikaona napoteza muda. Nikaamua kufungua real acc ambayo nilianza nayo kwa kupata hasara. Kadri nilivyokua napata hasara, ndivyo nilivyokua najifunza.

Naweza sema nimejifunza vingi kwa muda huo wa miezi 7 hadi sasa. Nimeshaunguza acc si chini ya 10. Ambazo kwa jumla ni kama $300. Siwezi ongopa, mpaka sasa bado sijaanza kula faida za forex japo naamini baada ya miezi 2 nitakua nimerudisha hela zote kwasababu nimefikia hatua nzuri.

Nilivyojifunza kuhusu forex ni
1. Sio lazima Ku trade kama silielewi soko la wakati huo

2. Nifungue trade nikiwa na uhakika wa ninachokifanya.

3. Nibalance lot size kutokana na kiasi cha mtaji wangu

4. Nisifungue trade zaidi ya 1

5. Nisisahau kuweka SL

6. Nisiwe na tamaa na niweze kucontrol emotion

7. Sio kila pair naweza Ku trade

8. Hiyo loss ya $300, ni gharama ya kujifunza forex

Ahsanteni sana
Uzi wako na lengo wale wanaopoteza pesa kila siku wasiwe na wasiwasi watakuja kuzirudisha huko mbeleni..

Sawa umesikika mkuu
 
The best n simple exchange is nunua goods kwa bei ndogo nenda kaiuze kwa bei ya juu zaid upate faida,..hii ni zaid ya forex,simpo,mfano,nunua nanasi kwa 1000,kauze kwa 1500,in bulky si unapiga hela nying,hapo akili utayotumia ni ya darasa la pili,hahahahah,...mnahangaikaaaaa
 
The best n simple exchange is nunua goods kwa bei ndogo nenda kaiuze kwa bei ya juu zaid upate faida,..hii ni zaid ya forex,simpo,mfano,nunua nanasi kwa 1000,kauze kwa 1500,in bulky si unapiga hela nying,hapo akili utayotumia ni ya darasa la pili,hahahahah,...mnahangaikaaaaa
ila sasa elimu lazima kijana
 
Uzi wako na lengo wale wanaopoteza pesa kila siku wasiwe na wasiwasi watakuja kuzirudisha huko mbeleni..

Sawa umesikika mkuu
Kwanini umefikiria hivyo mkuu? Hivi unaijua biashara yenyewe inafanywaje?

Ipo hivi. Mimi sipati faida wala hasara yoyote kwa watu kuujua au kuto kuijua hii biashara.

Alafu lengo langu wala halikua kwa wale wasioijua hii biashara. Lengo langu ni kwa wanaoifanya hii biashara. Na lengo lenyewe lilikua ni kushare experience za biashara hii. Mimi naamini kwa kupitia jf, nitajifunza mengi
 
Dah kweli vyuma vimekaza...hizi habari za forex zilikuwa hazivumi enzi za mkwere

Dah kweli vyuma vilikaza (enzi za kikwete)...Maana uuzwaji wa dawa za kulevya tulikuwa hatuusikii sana enzi za mkapa.
 
IMG-20180102-WA0005.jpg
 
The best n simple exchange is nunua goods kwa bei ndogo nenda kaiuze kwa bei ya juu zaid upate faida,..hii ni zaid ya forex,simpo,mfano,nunua nanasi kwa 1000,kauze kwa 1500,in bulky si unapiga hela nying,hapo akili utayotumia ni ya darasa la pili,hahahahah,...mnahangaikaaaaa
Kila biashara haipo kwaajiri ya kila mtu.
Hata forex haipo kwaajiri ya kila mtu. Ulimwengu unabadilika mkuu. Teknolojia inakua. Hivi ni nani alifikiria kutumia simu ya mkononi kwa vizazi vya huku kwetu Africa miaka ya 1980?

Hivi unadhani kila mtu angeenda shambani, leo hii mngeendesha magari?
 
Hehehehe Join date 4th July.. Kuna account zingine kama nne ambazo zimejoin July kuanzia 3 to 5 ambazo kazi yenu kubwa ni kuwamotivate watu kwenye hiyo biashara..

Mungu anawaona mjue..

Not everything is for everybody. if it ain't for you, then keep it cool.
 
Hehehehe Join date 4th July.. Kuna account zingine kama nne ambazo zimejoin July kuanzia 3 to 5 ambazo kazi yenu kubwa ni kuwamotivate watu kwenye hiyo biashara..

Mungu anawaona mjue..

Not everything is for everybody. if it ain't for you, then keep it cool.
 
Back
Top Bottom