Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Forex ni kamali au kuna vitu vinauzwa? Kama kuna anyepata faida bas na mwenye hasara atakuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi wako na lengo wale wanaopoteza pesa kila siku wasiwe na wasiwasi watakuja kuzirudisha huko mbeleni..Tangu niijue hii biashara ya forex kupitia Uzi wa Ontario, ni takribani miezi 7. Sikuwahi kusoma wala kupitia mafunzo yoyote Yale. Wala sinaga mentor.
Nilipoona Uzi wa jamaa na nikajua kuna uwezekano wa kupiga hela, nilienda moja kwa moja google kusearch nilichokisoma kutoka jf. Nilikutana na maelezo mengi sana. Nili download plattform na nikaanza kufanya demo. Japo nilikua sijui una place vipi order, lakini kwa kupitia video za YouTube, niliweza kujua. Nilinda na demo kwa takribani wiki mbili, nikaona napoteza muda. Nikaamua kufungua real acc ambayo nilianza nayo kwa kupata hasara. Kadri nilivyokua napata hasara, ndivyo nilivyokua najifunza.
Naweza sema nimejifunza vingi kwa muda huo wa miezi 7 hadi sasa. Nimeshaunguza acc si chini ya 10. Ambazo kwa jumla ni kama $300. Siwezi ongopa, mpaka sasa bado sijaanza kula faida za forex japo naamini baada ya miezi 2 nitakua nimerudisha hela zote kwasababu nimefikia hatua nzuri.
Nilivyojifunza kuhusu forex ni
1. Sio lazima Ku trade kama silielewi soko la wakati huo
2. Nifungue trade nikiwa na uhakika wa ninachokifanya.
3. Nibalance lot size kutokana na kiasi cha mtaji wangu
4. Nisifungue trade zaidi ya 1
5. Nisisahau kuweka SL
6. Nisiwe na tamaa na niweze kucontrol emotion
7. Sio kila pair naweza Ku trade
8. Hiyo loss ya $300, ni gharama ya kujifunza forex
Ahsanteni sana
Hehehehe Join date 4th July.. Kuna account zingine kama nne ambazo zimejoin July kuanzia 3 to 5 ambazo kazi yenu kubwa ni kuwamotivate watu kwenye hiyo biashara.."Jambo ambalo sijutiii,ni kuanguka kila ninapojaribu,kufeli kila ninapo jifunza" Jeff Benzos ....World 1st billionaire
ila sasa elimu lazima kijanaThe best n simple exchange is nunua goods kwa bei ndogo nenda kaiuze kwa bei ya juu zaid upate faida,..hii ni zaid ya forex,simpo,mfano,nunua nanasi kwa 1000,kauze kwa 1500,in bulky si unapiga hela nying,hapo akili utayotumia ni ya darasa la pili,hahahahah,...mnahangaikaaaaa
Kwanini umefikiria hivyo mkuu? Hivi unaijua biashara yenyewe inafanywaje?Uzi wako na lengo wale wanaopoteza pesa kila siku wasiwe na wasiwasi watakuja kuzirudisha huko mbeleni..
Sawa umesikika mkuu
Dah kweli vyuma vimekaza...hizi habari za forex zilikuwa hazivumi enzi za mkwere
Kila biashara haipo kwaajiri ya kila mtu.The best n simple exchange is nunua goods kwa bei ndogo nenda kaiuze kwa bei ya juu zaid upate faida,..hii ni zaid ya forex,simpo,mfano,nunua nanasi kwa 1000,kauze kwa 1500,in bulky si unapiga hela nying,hapo akili utayotumia ni ya darasa la pili,hahahahah,...mnahangaikaaaaa
Kukoma ni siku ya kiama tuhatukomi tu!!!
Hehehehe Join date 4th July.. Kuna account zingine kama nne ambazo zimejoin July kuanzia 3 to 5 ambazo kazi yenu kubwa ni kuwamotivate watu kwenye hiyo biashara..
Mungu anawaona mjue..
Hehehehe Join date 4th July.. Kuna account zingine kama nne ambazo zimejoin July kuanzia 3 to 5 ambazo kazi yenu kubwa ni kuwamotivate watu kwenye hiyo biashara..
Mungu anawaona mjue..
Mentor.. teh teh tehNot everything is for everybody. if it ain't for you, then keep it cool.