Mpaka sasa nimepoteza $300 kwenye forex

Mpaka sasa nimepoteza $300 kwenye forex

nimeshasoma sana mkuu... pointi yangu ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kwamba hii unapiga pesa nje nje, sio kiivo kama watu wanavodanganywa... halafu kwa nn inatumika nguvu kubwa sana kuwaaminisha lazima upige hela... ? cheki hizo ada zinazotozwa sasa ili ufundishwe,, kuna kitu nyuma ya pazia watu watakuja kulia humu huku jamaa na genge lake washapiga hela kiulaini kabisa ... time will tell
Kwanini unapoteza muda kuongea kitu usichokijua? Forex sio kwa kila mtu halafu Forex ni Biashara huru unafanya mwenyewe ukilose ni wewe hakuna wakumlaumu, Ontario binafsi namuombea kila la kheri ametufungua macho...kwangu Mimi Forex is only my hope kama unaweza kupata faida USD 50! In just few hours niambie ni Biashara gani unaweza kuifanya ikakulipa kiasi hicho, losses is just part of the game!!
 
Kwanini unapoteza muda kuongea kitu usichokijua? Forex sio kwa kila mtu halafu Forex ni Biashara huru unafanya mwenyewe ukilose ni wewe hakuna wakumlaumu, Ontario binafsi namuombea kila la kheri ametufungua macho...kwangu Mimi Forex is only my hope kama unaweza kupata faida USD 50! In just few hours niambie ni Biashara gani unaweza kuifanya ikakulipa kiasi hicho, losses is just part of the game!!
Mkuu Mr Mose uko forex kwa muda gani sasa? Kuna jambo ningeomba ufafanuzi
 
nimeshasoma sana mkuu... pointi yangu ni kwamba kuna nguvu kubwa sana inatumika kwamba hii unapiga pesa nje nje, sio kiivo kama watu wanavodanganywa... halafu kwa nn inatumika nguvu kubwa sana kuwaaminisha lazima upige hela... ? cheki hizo ada zinazotozwa sasa ili ufundishwe,, kuna kitu nyuma ya pazia watu watakuja kulia humu huku jamaa na genge lake washapiga hela kiulaini kabisa ... time will tell
Sasa ontario anapata nini akishashawishi wana jf?
 
Huu umaskini unaongeza tamaa! My friends hakuna "easy money" popote pale Duniani! Daima easy money ina risks kubwa sana. Kwa hiyo ni sawa na kucheza kamari! Lakini kwa hilo la forex utakaa sana ukisubiria hiyo bingo!
 
Huu umaskini unaongeza tamaa! My friends hakuna "easy money" popote pale Duniani! Daima easy money ina risks kubwa sana. Kwa hiyo ni sawa na kucheza kamari! Lakini kwa hilo la forex utakaa sana ukisubiria hiyo bingo!
Forex ni investment sio kamari, forex ni carrier unaanza kuwa begginer baadaye ukikomaa unakuwa pro mtazamo wako kuihusu forex hauwezi kubadili ukweli, no easy money icho nakubaliana na wewe hata vitabu vya forex vingi vinatahadharisha kwamba forex is not a get rich quick scheme
 
Tujiulize tu! Investment of USD300 itakunufaishaje? Kwa kununua na kuuza pesa! Mbona tunadanganyana sana jamani.
 
Karibia miezi minne mpaka sasa kama unaswali karibu
Mkuu inabidi unipe shule maana ndiyo naanza anza. Jana niliona watu humu wakijadili kuhusu ku trade wakati wa matangazo muhimu kama NFP ikitoka au hata nchi fulani ikiwa na jambo la dharura kwenye zile nchi muhimu.
 
Tujiulize tu! Investment of USD300 itakunufaishaje? Kwa kununua na kuuza pesa! Mbona tunadanganyana sana jamani.
Kuwa mpole kuwa positive utaelewa, USD 300 inakuwa leveraged ukiimanage vizuri ndani ya mwezi inaweza kufika USD 1000 ukitaka kujua kitu ni bora kuwa naïve kuliko kujifanya unajua
 
Mkuu inabidi unipe shule maana ndiyo naanza anza. Jana niliona watu humu wakijadili kuhusu ku trade wakati wa matangazo muhimu kama NFP ikitoka au hata nchi fulani ikiwa na jambo la dharura kwenye zile nchi muhimu.
Sawà lakni inabidi usome kwanza vitabu ili tuwe tunaongea lugha moja hizo zinaitwa fundamental news unaweza kula bingo au ukachoma account yako kwasababu huwa zinamove market kwa speed ya rocket
 
Tuombe Mungu baada ya miezi 3 kuanzia leo uje utuelezee ulichovuna! Tatizo lenu ni kushawishi watu waingie kabla hata wewe mwenyewe hujafanikiwa. Hizo terminologies sio pesa! Mitandao ina mambo mengi sana! Ila waTz ni wazuri sana kuwatapeli! Wanaamini kila kitu haraka haraka!
 
Tangu niijue hii biashara ya forex kupitia Uzi wa Ontario, ni takribani miezi 7. Sikuwahi kusoma wala kupitia mafunzo yoyote Yale. Wala sinaga mentor.

Nilipoona Uzi wa jamaa na nikajua kuna uwezekano wa kupiga hela, nilienda moja kwa moja google kusearch nilichokisoma kutoka jf. Nilikutana na maelezo mengi sana. Nili download plattform na nikaanza kufanya demo. Japo nilikua sijui una place vipi order, lakini kwa kupitia video za YouTube, niliweza kujua. Nilinda na demo kwa takribani wiki mbili, nikaona napoteza muda. Nikaamua kufungua real acc ambayo nilianza nayo kwa kupata hasara. Kadri nilivyokua napata hasara, ndivyo nilivyokua najifunza.

Naweza sema nimejifunza vingi kwa muda huo wa miezi 7 hadi sasa. Nimeshaunguza acc si chini ya 10. Ambazo kwa jumla ni kama $300. Siwezi ongopa, mpaka sasa bado sijaanza kula faida za forex japo naamini baada ya miezi 2 nitakua nimerudisha hela zote kwasababu nimefikia hatua nzuri.

Nilivyojifunza kuhusu forex ni
1. Sio lazima Ku trade kama silielewi soko la wakati huo

2. Nifungue trade nikiwa na uhakika wa ninachokifanya.

3. Nibalance lot size kutokana na kiasi cha mtaji wangu

4. Nisifungue trade zaidi ya 1

5. Nisisahau kuweka SL

6. Nisiwe na tamaa na niweze kucontrol emotion

7. Sio kila pair naweza Ku trade

8. Hiyo loss ya $300, ni gharama ya kujifunza forex

Ahsanteni sana



Hahhaaaa....mmerudi tena kinyumenyume!

Hivi kwanini mnakua manipulative namna hii?

Bunch of parasites!
 
Tuombe Mungu baada ya miezi 3 kuanzia leo uje utuelezee ulichovuna! Tatizo lenu ni kushawishi watu waingie kabla hata wewe mwenyewe hujafanikiwa. Hizo terminologies sio pesa! Mitandao ina mambo mengi sana! Ila waTz ni wazuri sana kuwatapeli! Wanaamini kila kitu haraka haraka!
Hakuna utapeli Mkuu ni real business kupata hasara ni sehemu ya Biashara mm sishawishi MTU ukiingia au usipoingia mimi sifaidik na chochote
 
Hapa usitudanganye. Unachofanya ni kuwashawishi watu wajiunge huko. Hivi kama kuna mipesa hiyo mingi nje nje kwa nini mnatumia nguvu nyingi kutushawishi ma Laggards?
Ekizakitili.....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapa usitudanganye. Unachofanya ni kuwashawishi watu wajiunge huko. Hivi kama kuna mipesa hiyo mingi nje nje kwa nini mnatumia nguvu nyingi kutushawishi ma Laggards?
jaribu na wewe
 
Back
Top Bottom