Mpaka sasa Shetani anaongoza kwa asilimia 100% dhidi ya mpinzani wake

Mpaka sasa Shetani anaongoza kwa asilimia 100% dhidi ya mpinzani wake

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Wamechoka dini ila sio ucha Mungu, watu wanatenda haki kuliko wanavyotenda dhambi, na wamegundua dini ni scam ila haki iko moyoni mwa kila mmoja wetu na ndo maana hata uwe mzinzi vipi huwezi zini na kichanga na hata uwe mbnafsi vipi huwezi acha mzika binadamu mwenzako akifa hivyo Mungu anatuwezesha kutenda haki mioni mwetu hata kama hatufatishi ya dini
 
Wamechoka dini ila sio ucha Mungu, watu wanatenda haki kuliko wanavyotenda dhambi, na wamegundua dini ni scam ila haki iko moyoni mwa kila mmoja wetu na ndo maana hata uwe mzinzi vipi huwezi zini na kichanga na hata uwe mbnafsi vipi huwezi acha mzika binadamu mwenzako akifa hivyo Mungu anatuwezesha kutenda haki mioni mwetu hata kama hatufatishi ya dini
Una uhakika watu hawazini na vichanga mkuu? Au unaongea tu.
 
Binadamu kwenye dhambi ana adui au visababishi viwili vya dhambi
1.Mwili wake
2.Shetani.
Mwili wa binadamu unamsababishia dhambi nyingi kushinda hata shetani.
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Shetani ndio nani
 
Tatizo huyo shetani ni fiction tu wala hajawahi kuwepo na huyo mungu wa kwenye vitabu ni utapeli tu
Ipo cku utaelewa ya kuwa Mungu yupo! Nayo i jaribu,ukitaka kuwa salama mwamini na kumwomba msamaha maana hujifunua kwa namna tofauti kutegemea na ugumu wa moyo wa huyo mtu ktk kumwamin
 
Sodom na Gomorrah ni cha mtoto kwa yanayo fanywa siku hizi duniani
Ha! Wewe bado hatufikii!
JamiiForums-508302004.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wawa fasiri biblia wa uchochoroni sifa za mungu ni za shetani na za shetani ni za mungu.
 
Mungu ndio shetani mwenyewe maana yake ni kwamba Mungu ni kila kitu unachokiona katika dunia usipoteze muda kujua kuwa mungu atakuja kumuadhibu shetani wakati ndio yeye atajiadhibu vp wakati plan zote anapanga mwenyewe 😁😁😁
 
Ipo cku utaelewa ya kuwa Mungu yupo! Nayo i jaribu,ukitaka kuwa salama mwamini na kumwomba msamaha maana hujifunua kwa namna tofauti kutegemea na ugumu wa moyo wa huyo mtu ktk kumwamin
ukianza na neno ipo siku hapo unageuka kuwa sheikh yahaya mtabiri(utakufa na hiyo siku haifiki ng'o), na pia nionyeshe sehemu nimesema Mungu hayupo,ila huyo wa kwenye vitabu ni utapeli na mtazidi kutapeliwa hadi mkome
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Si kweli, wewe ni muhongo, watakatifu wapo na wahaminifu mbele ya Mungu wao.
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
USHINDWE.
SIKU UKIPATA SHIDA NDIO UTAJUA MUNGU HALUNGANISHWI NA CHOCHOTE KILE,MBINGUNI NA DUNIANI.
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.


Ipo hivi; Maasi yanapozidi wema katika hali hiyo Mungu hawezi kuiacha dunia bila kutoa adhabu, sema kwamba leo hii maasi yanazidi kutamalaki lakini bado mema duniani ni mengi kuliko maasi kwa ujumla wake.
 
Back
Top Bottom