Mpaka sasa Shetani anaongoza kwa asilimia 100% dhidi ya mpinzani wake

Mpaka sasa Shetani anaongoza kwa asilimia 100% dhidi ya mpinzani wake

Ukiachana na dini, Idadi ya wema bado ni kubwa sana ukilinganisha na idadi ya waasi. Siku ikiwa vice versa hapatakuwa na utulivu huu uliopo duniani.
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Sio kweli
 
Mungu ndio shetani mwenyewe maana yake ni kwamba Mungu ni kila kitu unachokiona katika dunia usipoteze muda kujua kuwa mungu atakuja kumuadhibu shetani wakati ndio yeye atajiadhibu vp wakati plan zote anapanga mwenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Shetani ni toto Tundu,

Mamlaka yake Yana mipaka, angeruhusiwa kuvuka mipaka, angeshaichoma moto Dunia.

Mwanadamu akimkaribia Mungu, shetani Hana nafasi, bt ukitenda DHAMBI ndo unampa shetani uhalali wa kukupiga.

ANGALIZO; Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Hata kipindi cha Nuhu watu walisema kama wewe, hata kipindi cha sodoma na ghomora walikuwepo kama wewe, na hata sasa kuwepo watu kama wewe si kitu kigeni lakini haimaanisha ile siku ya kilio na kusaga meno haitakuwepo, INAKUJA, hivyo chagua fungu lako wisely
 
[emoji41]
JamiiForums2044379132.jpg
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Ni wewe tu na fikra zako wacha Mungu bado wapo sana na ndiyo maana Dunia haiangamii soma warumi 6:1-2
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Sawa mkuu,ila padilisha picha yako ya mbele mtoto wa kiume hakaagi hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.

Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Hata itokee ulimwengu mzima ukamsujudia mnyama na wafuasi wake na asiyesujudu achemshwe kwenye dizel inayotokota mimi sitomsujudia mnyama wwla shetani

Hata kama nimemkosea Mungu wangu namna gani lakini sitokubaliana na hoja kwamba shetani ameshinda. Katu hawezi kushinda.

Kinachowaumiza wanadamu ni conset yaani HIYARI ambapo mnamsingizia shetani kuwa anawaburuza kwenye uovu wakati yeye anakushawishi kwa kuweka tamaa mbele yako ili ufanye hiyari ya maamuzi uanguke.

Badili Mtazamo. Mungu hashindwi. Alimtengeneza binadamu aishi kwa utashi wwke na kumpatia kila kitu ikiwemo mamlaka.... Ametupa muda wa kujopatanisha naye
 
Si kweli, wewe ni muhongo, watakatifu wapo na wahaminifu mbele ya Mungu wao.
Hamna kitu wamebaki kufirana tu, si papa Fransic kasema wanaume wapelekeane moto tu sio kosa
 
Wamechoka dini ila sio ucha Mungu, watu wanatenda haki kuliko wanavyotenda dhambi, na wamegundua dini ni scam ila haki iko moyoni mwa kila mmoja wetu na ndo maana hata uwe mzinzi vipi huwezi zini na kichanga na hata uwe mbnafsi vipi huwezi acha mzika binadamu mwenzako akifa hivyo Mungu anatuwezesha kutenda haki mioni mwetu hata kama hatufatishi ya dini
Mkuu ili la kuzini na vichanga watu washirikina wanafanya sana wengine mpaka wanakula binadamu wenzao
 
Mungu ndio shetani mwenyewe maana yake ni kwamba Mungu ni kila kitu unachokiona katika dunia usipoteze muda kujua kuwa mungu atakuja kumuadhibu shetani wakati ndio yeye atajiadhibu vp wakati plan zote anapanga mwenyewe 😁😁😁
Acha kukufuru,IPO cku utaelewa.Tubu na uuangame, uiepuke hasira Kali ya YEHOVA juu ya waasi.
 
Back
Top Bottom