Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliNasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.
Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu ndio shetani mwenyewe maana yake ni kwamba Mungu ni kila kitu unachokiona katika dunia usipoteze muda kujua kuwa mungu atakuja kumuadhibu shetani wakati ndio yeye atajiadhibu vp wakati plan zote anapanga mwenyewe [emoji16][emoji16][emoji16]
Shetani ni toto Tundu,Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.
Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Bado hatujafikiaSodom na Gomorrah ni cha mtoto kwa yanayo fanywa siku hizi duniani
Mkisema hivyo huwa mnanimaliza kabisa!haimaanisha ile siku ya kilio na kusaga meno haitakuwepo, INAKUJA, hivyo chagua fungu lako wisely
Ni wewe tu na fikra zako wacha Mungu bado wapo sana na ndiyo maana Dunia haiangamii soma warumi 6:1-2Nasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.
Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Sawa mkuu,ila padilisha picha yako ya mbele mtoto wa kiume hakaagi hivyoNasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.
Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Hata itokee ulimwengu mzima ukamsujudia mnyama na wafuasi wake na asiyesujudu achemshwe kwenye dizel inayotokota mimi sitomsujudia mnyama wwla shetaniNasema haya kwa dhati kabisa kutoka moyoni kuwa Shetani anaongoza kwa 100% dhidi ya mpinzani wake kulingana na mambo yaliyokatazwa na vitabu vitakatibfu kuzidi kupuuzwa na binadamu kila kukicha.
Hivi sasa hakuna binadamu ambaye anafurahishwa na maandiko ya vitabu vitakatifu na unapojaribu kumweleza mtu kuwa wewe ni mcha mungu basi atakuona mpuuzi na usiye na akili timamu, mnyonge mnyongeni haki yake mpatieni ukweli ni kuwa watu wamechoka na habari za vitabu vitakatifu ndio maana kila kukicha tunasikia matukio yaliyo kinyume na maagizo ya vitabu vitakatifu.
Ni heri uamini hata ukukikuta hayupo hamna hasara yoyote utapata kuliko kutokuamini alafu umkuteMkisema hivyo huwa mnanimaliza kabisa!
aisee hii nayo ni noma🙄🙄
Mkuu ili la kuzini na vichanga watu washirikina wanafanya sana wengine mpaka wanakula binadamu wenzaoWamechoka dini ila sio ucha Mungu, watu wanatenda haki kuliko wanavyotenda dhambi, na wamegundua dini ni scam ila haki iko moyoni mwa kila mmoja wetu na ndo maana hata uwe mzinzi vipi huwezi zini na kichanga na hata uwe mbnafsi vipi huwezi acha mzika binadamu mwenzako akifa hivyo Mungu anatuwezesha kutenda haki mioni mwetu hata kama hatufatishi ya dini
Acha kukufuru,IPO cku utaelewa.Tubu na uuangame, uiepuke hasira Kali ya YEHOVA juu ya waasi.Mungu ndio shetani mwenyewe maana yake ni kwamba Mungu ni kila kitu unachokiona katika dunia usipoteze muda kujua kuwa mungu atakuja kumuadhibu shetani wakati ndio yeye atajiadhibu vp wakati plan zote anapanga mwenyewe 😁😁😁
aiseee nimecheka sana kwa jibu na ambatanisho la pichaaaa.