Mpaka sasa Shetani anaongoza kwa asilimia 100% dhidi ya mpinzani wake

Acha kukufuru,IPO cku utaelewa.Tubu na uuangame, uiepuke hasira Kali ya YEHOVA juu ya waasi.
Yehova ndio nani mkuu yaan mnajitungia vitu katika vichwa vyenu halafu ndio mnataka wote tukubali mawazo yenu finyu 😁😁😁
 
Yehova ndio nani mkuu yaan mnajitungia vitu katika vichwa vyenu halafu ndio mnataka wote tukubali mawazo yenu finyu 😁😁😁
Ipo cku utamtambua kuwa yeye ni nan,dharau vingne ila c kwa Mungu mtukufu aliye muumbaji(YEHOVA)
 
Nakuuliza Yehova ndio nani unaanza sijui utakumbana nae ww umeshawahi kukumbana nae 😁😁
Ndiye Mungu mtukufu aliyeumba vyote,mwenye uweza wote na nguvu zote,na upendo wote na asiyeshindwa chochote.aliyekuwako,aliyepo na atakayekuwako,utukufu,enzi,heshima una yeye milele hata milele
 
Ndiye Mungu mtukufu aliyeumba vyote,mwenye uweza wote na nguvu zote,na upendo wote na asiyeshindwa chochote.aliyekuwako,aliyepo na atakayekuwako,utukufu,enzi,heshima una yeye milele hata milele
Hizo habari umezipata wapi wakati Mungu haonekani wewe kakuambia nani kama yeye anaitwa Yehovah
 
labda nirogwe ndio nitatoa πŸ˜‚ πŸ˜‚
Wanatoga saiv noma ukimkuta yupo na msalaba kila mala au yupo na tasbihi lakini anaweza ndumba kinoma....

Mbaya zaidi totoz hazipiti mbali kwao ni bakora tu...

NB: uchawi ukiutumia vyema ni mzuri sana
 
Wanatoga saiv noma ukimkuta yupo na msalaba kila mala au yupo na tasbihi lakini anaweza ndumba kinoma....

Mbaya zaidi totoz hazipiti mbali kwao ni bakora tu...

NB: uchawi ukiutumia vyema ni mzuri sana
hatari sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…