Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Ubora wengi wamemzidi labda useme mbwembwe...
Aisee we jamaa umechanganyikiwa kweli. Yaani unajaribu kusema eti wengi wanamzidi alafu ukiambiwa utaje mmoja utasikia J.J. Okocha, Mara Messi, sijui Figo.
Embu kuwa siriac japo kwa sekunde mkuu
 
Popote alipokuwa Gaucho nilikuwa shabiki wa hiyo team akitoka na ushabiki unakufa. Hadi sasa ninavyoichukia barca mfano hakuna.
Hahahaahaaaa!!

We ni shida Mkuu.

Jamaa alikuwa anashabikiwa mpaka na Wapinzani wake.

Alafu kombe la dunia mwaka 2014, wananchi wa Brazil walikuwa wanamshawishi Dunga aliyekuwa kocha wa timu hiyo amtaje Gaucho kwenye kikosi bila kujali kuwa kiwango chake kilikuwa kimeshuka.
Washabiki wengi walitaka waone ladha ya mpira kwa Mara ya mwisho lakini Dunga alikataa.
 

GARRINCHA Ndo Alikua Mchawi Wa MpiRa....huyu ndo role model wa huyo unaemkubali
Garrincha alikuwa mzuri lakini bado atashika mgongo wa Gaucho.

Jamaa alikuwa anampira wenye ladha sana
 
Gaucho weka mbali. Wakati fulani nilikua nje ya nchi ikapigwa kura kati ya Gaucho na Zidane. Gaucho allipata votes 68% dhidi ya 32% za Zizzou. Gaucho ni the best mimi wa zamani lakini huyu mtu wa juzi hana adabu kwa kaka zake.
 
Nini maoni yako kuhusu Gaucho
Binafsi namchukulia Gaucho kama greatest showboater kwenye ulimwengu wa soka.
Upande wa footballer as a whole Gaucho lacked professionalism na hii ndio inamwondoa among the elites kama Maradona, Messi, Pele etc.
 
Yani mkuu nakushukuru sana kwa kuleta hii mada ya mchawi wa kuchezea mpira. Mimi huwa namwazia tu huyu lakini the sikufikiriaga kumtolea post, kwa hilo nakupongeza sana....!!!!
 
Hakunaga kama Ronaldinho
Nianza kuona uwezo wake kukupa final za World Cup inchini Japan mwaka nimesahau
 
Aisee we jamaa umechanganyikiwa kweli. Yaani unajaribu kusema eti wengi wanamzidi alafu ukiambiwa utaje mmoja utasikia J.J. Okocha, Mara Messi, sijui Figo.
Embu kuwa siriac japo kwa sekunde mkuu
Acha mahaba mkuu kuna wachezaji wazuri ambao wameweza kumaintain viwango vyao throughout their careers.
Kuna mtu kama Francisco Toti, Iniesta, Zidane etc.
Kwangu mimi Dinho atabaki kama greatest entertainer kwenye soka.
 
Gaucho weka mbali. Wakati fulani nilikua nje ya nchi ikapigwa kura kati ya Gaucho na Zidane. Gaucho allipata votes 68% dhidi ya 32% za Zizzou. Gaucho ni the best mimi wa zamani lakini huyu mtu wa juzi hana adabu kwa kaka zake.
Mkuu ni wachache tuu ambao watakao sema kuna anayemzidi huyu mchawi.
Mimi nacheza mpira Sana na Mara nyingi zikipigwa kura mahali pote nilipowahi kufika Gaucho anashinda.
 
Mtoto wa juz kwel ww na nilicho gundua huwa unaangalia mech kubwa tuu. Hv kwel wewe unamjua Jay Jay Okocha, Gaucho mwenyewe kwa kinywa chake anakili kujifunza mambo kwa Okocha
hebu muulize kama anamfahamu mchezaji wa ghana aliyekuwa anaitwa Tony Yeboah, unaenda mpiga ngwala unaanguka wewe, yeye anaambaa ambaa na mpira, jamaa alikuwa ananiacha hoi sana, ukienda kwa nia ya kumuangusha unaanguka wewe, na mkianguka pa1 yeye anakuwa wa mwanzo kuamka, na alikuwa pande la mtu sasa
 
Sina ushabiki kihivyo wa football ila sitakuja sahau siku ambayo huyu Ronadinho alipofunga goli mpira wa adhabu akiwa almost katikati ya kiwanja !na mm naunga mkono hakuna niliyepata kumuona kama huyu.
 
Binafsi namchukulia Gaucho kama greatest showboater kwenye ulimwengu wa soka.
Upande wa footballer as a whole Gaucho lacked professionalism na hii ndio inamwondoa among the elites kama Maradona, Messi, Pele etc.

Na hicho ndicho kinachomfanya watu wamuone bora kuliko wachezaji wengine kuwahi kutokea.

Unajua jamaa anamichezo ambayo mchezaji wa kawaida hata ajifunze miaka mia hawezi kuijua
 
Yani mkuu nakushukuru sana kwa kuleta hii mada ya mchawi wa kuchezea mpira. Mimi huwa namwazia tu huyu lakini the sikufikiriaga kumtolea post, kwa hilo nakupongeza sana....!!!!
Hii ndio JF Mkuu.
Akisahau mmoja mwingine ataleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…