Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Yanga kwa kusajili namba 3 Gadiel Michael toka Azam, centre back Ninja, Buswita na Ajibu ime address mapungufu yao yaliyokuwa katika timu kwa msimu uliopita!
Sasa simba inasajili Kapombe, sijui Manula, left back, Okwi, Bocco etc wote hawa hawajibu udhaifu wa timu uliokuwepo bali ni mihemuko itakayopelekea timu kuhitaji muda kuumdwa upya! Na hilo litaidhoofisha zaidi time!
Yanga haina tatizo la ushambuliaji, yeyote anaweza kufunga. Hilo limedhihirika baada ya kufunga magoli mengi kuliko timu yoyote kwa miaka miwili mfululizo.Hadi sasa yanga sijui mhambuliaji wa uhakika pengo hilo nani anaziba...
Kumbe ulifikiri mimi ni mikia fc?Wewe ni yanga bila shida ila hatutetereki na maandishi
Huo ni uongo wa mchana kweupe peee!!!Endelea kujipa moyo. Ila watu wa ndani wa yanga wanakwambia wachezaji wanaobaki msimu huu hawazidi wawili
Acha kuiga vitu visivyo vya kwako. Haiwezekan kabisa kuwa Yanga Damu kwani simba Damu ni kwa sababu Damu ina rangi nyekundu rangi inayotumiwa na timu ya simba. Upo hapo?Kumbe ulifikiri mimi ni mikia fc?
Ni mgeni pekee katika jukwaa hili atakayedhani kuwa Makoye Matale siyo Yanga Damu!
kweli wewe ndala .......udhaifu wa simba msimu uliopita ni upi?Yanga kwa kusajili namba 3 Gadiel Michael toka Azam, centre back Ninja, Buswita na Ajibu ime address mapungufu yao yaliyokuwa katika timu kwa msimu uliopita!
Sasa simba inasajili Kapombe, sijui Manula, left back, Okwi, Bocco etc wote hawa hawajibu udhaifu wa timu uliokuwepo bali ni mihemuko itakayopelekea timu kuhitaji muda kuumdwa upya! Na hilo litaidhoofisha zaidi time!
Huu ndio umbumbumbu aliowaambia Rage.Acha kuiga vitu visivyo vya kwako. Haiwezekan kabisa kuwa Yanga Damu kwani simba Damu ni kwa sababu Damu ina rangi nyekundu rangi inayotumiwa na timu ya simba. Upo hapo?
Yaani hawa jamaa ni mbumbumbu mpaka wanaingiwa na utaahiraHuu ndio umbumbumbu aliowaambia Rage.
Ngoja nikupe shule tena bure:
Damu ni uhai, ninaposema Yanga Damu naamanisha kuwa niko tayari kutoa hata chochote na hata uhai wangu ili Yanga iendelee kuwa hai.
Usikariri kwamba unaposikia neno 'damu' basi maana yake ni 'rangi nyekundu'. Tutaendelea kuwaelimisha tu enyi mambumbumbu ya m-simba-zi.
Nimesubscribe hii commentMikia fc hivi Rufaa ya fifa vipi
Kawaida tu, hata Drogba alisajili ChelseaMrisho Ngasa nae kasajili miaka 2 Yebo FC..
Wakijibu nishtueMikia fc hivi Rufaa ya fifa vipi