Mpaka Tuanzishe Mahakama Ya Ufisadi, Kwani Sheria Zilizopo Zinaruhusu Ufisadi?

Mpaka Tuanzishe Mahakama Ya Ufisadi, Kwani Sheria Zilizopo Zinaruhusu Ufisadi?

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,097
Mimi Cjaelewa Kdg. Tunaposema Tutaanzisha Mahakama Kwa Ajili Ya Kuwashughulikia Mafisadi,

>Je, Kwani Sheria Tulizonazo Zilikua Zinaruhusu Ufisadi?

>Alafu Je, Makosa Ya Ufisadi Hayawezi Kushugulikiwa Na Mahakama Zetu Zilizopo?

>Je, Pale Endapo Hakutakua Na Kesi Za Ufisadi,majaji Wa Mahakama Hiyo Watakua Wanafanya Kazi Gani?

>Mbona Akina Mramba, Yona Wameshtakiwa Kwa Sheria Zilizopo?

Mimi Ninachoona Cha Muhimu Ni Kuchukua Maamuzi Ya Kuwafikisha Wote Watakaobainika Wamefanya Ufisadi. Maana Tatzo Kubwa Lililokuwepo Ni RAIS Kuogopa Kuamuru MAFISADI Wote Wakamatwe Na Kufikishwa Mahakamani.

Ni Maoni Tu. Mimi Ni MCHUNGAJI Na Sio Mwanasiasa.

MUNGU Umlinde RAIS Wetu Na Viongozi Wote, KWA JINA LA YESU KRISTO.Amen
 
Kwani wewe siasa zako unazipa magepu? Mbona Nape alishalifafanua vizuri kuwa Wananchi hamkumuelewa vizuri Raisi ni hizi Mahakama zitaboreshwa haswa mianya ya rushwa itazibwa na fisadi yoyote atahykumiwa kwa haki zake na maovu yake sawia... so Hakuna Mahakama ya Mafisadi itakayofunguliwa hizi hizi zitaboreshwa.... nadhani umenipata!
 
Kwani wewe siasa zako unazipa magepu? Mbona Nape alishalifafanua vizuri kuwa Wananchi hamkumuelewa vizuri Raisi ni hizi Mahakama zitaboreshwa haswa mianya ya rushwa itazibwa na fisadi yoyote atahykumiwa kwa haki zake na maovu yake sawia... so Hakuna Mahakama ya Mafisadi itakayofunguliwa hizi hizi zitaboreshwa.... nadhani umenipata!



mahakama zitaboreshwa kivipi majengo kuongezwa au sheria kuongezwa nguvu?
 
Kwani wewe siasa zako unazipa magepu? Mbona Nape alishalifafanua vizuri kuwa Wananchi hamkumuelewa vizuri Raisi ni hizi Mahakama zitaboreshwa haswa mianya ya rushwa itazibwa na fisadi yoyote atahykumiwa kwa haki zake na maovu yake sawia... so Hakuna Mahakama ya Mafisadi itakayofunguliwa hizi hizi zitaboreshwa.... nadhani umenipata!
kwa hiyo kesi ambazo si za ufisadi zitaendeshwa katika mahakama zisizoboreshwa, zilizojaa rushwa n.k eeeh?
 
mm ninachoamini sheria zetu zinakataza rushwa na ufisadi, ila viongozi ndo walijiweka juu ya sheria, na kuwakumbatia waalifu.
 
Dawa hapo ni kurekebisha jina na kazi na bajeti ys takukuru iongezewe wanasheria ianze kazi kiupya chini ya awamu ya hapa kazi tu. Mtaona taifa linanyooka kuzoea utii na uadilifu kazini.
 
Ngoja tusongsze mbele maisha papa ila dagaa ngoja wasote kwanza uku mchakato ukiwa ujakamilika
 
Essense ya kuanzisha mahakama itakayodeal na ufisadi ni kuepukana na mlundiko wa kesi ambazo ziko mahakama nyingine...

Kwahiyo kama kukiwa na mahakama special ya ufisadi itasaidia sana mashauri kusikilizwa na watuhimiwa kuhukumiwa bila kupoteza mida kama wakiwa katika mahakama zingine
 
kwa hiyo kesi ambazo si za ufisadi zitaendeshwa katika mahakama zisizoboreshwa, zilizojaa rushwa n.k eeeh?

Kuwa na Subra umeambiwa watashughulikiwa hata Hizo mahakama zisipotoa hukumu za haki Magufuli amesema labda sio kwenye utawala wake.... ref: Fukwe ya Coco Beach na Manji...!

Tulia tuone Raisi wa CCM akitekeleza ahadi zake... japo alisema akishachaguliwa tu atazuru zile sehemu ambazo hakuweza kufika kwenye kampein za uchaguzi.. lakini alienda Dodoma kuwashukuru
 
mahakama zitaboreshwa kivipi majengo kuongezwa au sheria kuongezwa nguvu?

Kwa akili Ndogo tu mimi nimetumia na kuelewa Nape Nnauye alimaanisha kuboresha ni kusimamia Sheria za Haki no rushwa no ukiritimba no ucheleweshwaji.... maswala ya Rangi na kujenga majengo yatasimamiwa na Mwakyembe ndio waziri wake kama akipona kesi inayomkabili ya uchaguzi
 
Last edited by a moderator:
Ufisadi na uhujumu uchumi ni mambo yanayofanana, Sheria ya uhujumu uchumi ya mwaka 1984 inaridhia kuanzishwa kwa mahakama ya ufisadi ijapokuwa utekelezaji wake haujawa na tija
 
Back
Top Bottom