Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

Meko kashikwa Corodani hapo hata kuwahudumia m.alaya wake kama wewe hawezi.

Aseme ukweli Corona ipo na imemkalia pabaya. Baba zima halioni hata aibu kusema uongo barabarani. Jinga sana!
mwanaume akuonee aibu,mtoto wakike afanyeje!!!

aikaeli anakuonea aibu na bado anakufanya vibaya nje ndani.
 
Good point. Kama walikona wanapata vyeti fake lazima wangetatua hili suala kidiplomasia. Lazima walitumia wapelelezi wao kujihakikisha kuna vyeti fake - mtu kujifanya ni dereva wa Tanzania nk. Lakini you have a good point. KUna namna za kistaarabu za kutatua changamoto kama hizi sio kuamua kufunga kutokana na emotions. Ila najua ni kweli Tanzania wanatoa vyeti fake
 
Kuna dereva mmoja wa Tz alizimia huko Kenya kutokana na hivyo vipimo.
Huyo mmoja awakilishi madereva wote. Hawakilishi watanzania wote.
Kuna tofauti kubwa sana.
Pia kila mtu ana torelance factor ya tofauti.
 

Yote haya ni madhara ya kuficha ficha mambo na udanganyifu tunaoufanya katika jumuiya za kimataifa,iwapo tungekuwa wakweli ingekuwa rahisi kuaminika lakini tunaona uongo ndio kila kitu..hata hao madereva kutoka Tanzania siamini kweli watakuwa wamepimwa kutokana na kwamba kipimo kiko dar..hivyo ukute hata hao watoa vyeti ni watu wa kugushi gushi mambo tu. Wakenya wana haki kuhakikisha kuwa iwapo madereva wetu hawana maambukizi kweli kabla ya kuwaruhusu kuingia nchini kwao
 
Tunawekeana vikwazo vya kijinga na vinchi vyenyewe maskini tu.
 
Huyo mmoja awakilishi madereva wote. Hawakilishi watanzania wote.
Kuna tofauti kubwa sana.
Pia kila mtu ana torelance factor ya tofauti.
Mie nimetoa mfano kuhusiana na malalamiko ya maumivu kwa hivyo vipomo vya covid19.
 
Sasa kwa nini Kenya walikubali in the first place, wangeonyesha msimamo kuwa haawaamini hizo certificate za vipimo kutoka Tz, sio wakubali halafu wabadilike tena.
Mfumo wetu na kenya ni tofaut wanatumia collective decision making and responsibilities hakuna cha maamuz yametoka juu.Inawezekana mwakilishi alikubali alivyopeleka wakalichakata wakaona tz tumeipoliticize corona ni malaghai.Tukiacha ushabiki pembeni tunaweza kukubaliana na maamuzi yao kwamba hatuko sereous kwenye corona tumeacha wananchi wapambane na hali zao kinachoumiza zaid ni ulaghai wa kitoto kwamba corona imeisha mpaka watu hawajali tena maisha yanaendelea km kawaida mkuu wa nchi ameshindwa kuonesha mfano kuchukua tahadhar huku shughur zikiendelea.Tunaonekana vituko mbele ya wenzetu kana kwamba sayansi ya afya haipo kabisa.Mwanasheria ni waziri wa afya loh
 
Napendekeza wawe na joint centre ya kupima pale mpakani (Madaktari wa Kenya na wa TZ)
Maana waTZ kwa short cut hatujambo sana hasa kwa kauli mbiu kuwa CORONA siyo tishio tena cheti waweza pata popote tuu.
 
Napendekeza wawe na joint centre ya kupima pale mpakani (Madaktari wa Kenya na wa TZ)
Maana waTZ kwa short cut hatujambo sana hasa kwa kauli mbiu kuwa CORONA siyo tishio tena cheti waweza pata popote tuu.
hii ni njia nzuri zaidi
 
sawa mkuu nimekupata .kunashida mahala.
 
mwanaume akuonee aibu,mtoto wakike afanyeje!!!

aikaeli anakuonea aibu na bado anakufanya vibaya nje ndani.
Mimi ni CCM damu tena nilimpigia debe sana huyo Meko.
Leo anafanya upumbavu kama huu siwezi kutetea kisa nipo CCM. Ninajitambua siwezi MAVI kuyaita KEKI.
 
Samahan najua umemjibu mtu mwingine. But i would like to say. Hiyo ni pathetic excuse.
Is not about ugonjwa kuisha? Ni kuupunguza maambuukizi.
Kwao maambukizi ni makubwa..so.logicaly lazima wa react. Sishangai.
Hamna tabu , ila maana ya kupunguza si ndio kuendelea kuishi kwa tahadhari au ? Kuendelea kujifungia wakati kila siku unatangaza wagonjwa wapya nao ni matatizo ndio manaa nimejua labda anasubiri ugonjwa uishe kitu ambacho nimemuambia haiwezekani kirahisi zaidi ya kuendelea kuishi nao.
 
Kumbe uko na akili hivo lakini sijui ulikua unaandika nini huko juu, mtazamo ulioandika kwenye thread yako ndio Hali halisi sasa .
 
Dada usiamishie humu stress zako za kuachwa, hata wewe ulikuwa Malaya tu maana huyo unayemgombania teyari ana mke wake.

Kubali matokeo ushatumika na kupigwa chini.
Jibu hoja acha matusi. Corona imeisha au ipo?

Eti Kenya wanatuonea wivu, wanatumika na mabeberu!!! Pumbavu kabisa. Mlidhani Corona ni CHADEMA ya kuichezea.
 
Haiqezekani wakurupuke kufanya hilo jambo kuna tatizo na ndio maana hawwamini hivo vyeti na iaitoshe hawapati update yeyote kutoka Tanzania kuhusu corona na ndio maana wanamashaka na hivo vyeti.
 
Unachekesha sana bro. Eti kinauma.
Man huko duniani kote wanaopima ni vyuma au?
Ni sababu ya kitoto kabisa kuwahi kusikia.
Hauchokonolewi hovyo. Wanachukua fluids?
Kama hutaki usipime. Simple as that.
Huwezi kupimwa mara kwa mara ni lazima upewe muda ndio maana huku tunapimwa kila baada ya siku 15 kwa mwezi mzima baada ya hapo you're safe.

Alafu hilo neno la sababu ya kitoto hulitumua wazee wa JF na washamba wa JF!
 
Tunawekeana vikwazo vya kijinga na vinchi vyenyewe maskini tu.
Huyu Kivuruge wetu ndiyo mwenye makosa. Kila anapogusa lazima avuruge. Amezoea kutumia mabavu ndiyo maana hata mikutano anakwepa kwa sababu kwake vitisho na nguvu ndiyo kuendesha nchi. Tanzania ina watu wengi sana wenye maambukizo ya virus wa korona na wamefariki watu wengi mno kulinganisha na Kenya . Kenya hata watu mia moja waliofariki hawajafikisha lakini sisi tunakaribia elfu mbili. Huu unyama wa kijinga ndiyo Kivuruge anataka kuwapelekea Kenya. Ana bahati sana Kenyata naye ni mtu msataarabu sana la sivyo uhusiano ungekuwa umeshakuwa mbaya sana.
 
Sasa kwa nini Kenya walikubali in the first place, wangeonyesha msimamo kuwa haawaamini hizo certificate za vipimo kutoka Tz, sio wakubali halafu wabadilike tena.
A rational person has always 2nd thoughts. Vipimo vyetu vya Covid-19 tumesema ni vibovu, halafu ugonjwa umeyeyushwa kwa maombi, halafu tunaendelea kuhimiza watu waendelee kujikinga, na taarifa za hali ya maambukizi hazitolewi. Kwa haya yote nani atatuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…