Mpaka wa Namanga wafungwa kwa muda baada ya Kenya kuwazuia madereva malori kutoka Tanzania kwa kutokuamini vipimo vyao vya #Corona

Wewe una virusi vya corona au hauna , kama hauna unapenda nani awe nayo na kama unayo ,wewe kuwa nayo inatosha
 
Kenya haawaamini Tanzania kwa Sababu tz unasema Corona umeisha kwa maombi, hii haingii akilini kwa mtu yoyote
Sasa hata kama corona ipo utafanyaje sasa kwani kenya wana dawa unapima alafu ili iweje wakati dawa hakuna
 
Basi waende marekani
 
Hapa kwenye hii video sioni wale wazee wa kushabikia kenya wakitoa neno
Sijui wamelala?
Yani natamani mods waiweke ile video kule mwanzo ili wale wapumbavu watanzania wenzetu wanaotusaliti waione yani natamani niwatie shaba manake ni useless kabisa. Safari hii magu funga mpaka tu then weka bandari kavu hakuna kucheka na kima
 
Sasa tz ilishindwaje kuelezea Kenya wao haawaamini Kama vipimo vinasaidia ili iwr hakuna kupima kabisa? Huu ndio uduwaanzi
 
Kenya wako sahihi tena sana.Sisi hatuaminiki bora wawakatae tu.
 
Tumieni akili acheni hasira, matendo yenu yanaleta aibu kwa taifa, mjifunze kusikiliza wengine.

Hapa ndio mtajua ule uongo wenu wa wagonjwa kupungua huwa mnajidanganya wenyewe.
Nyie Wakenya mtakalia kushikilia mambo ya Corona hadi lini? Tatizo ni misaada mnatoipata kutoka ulaya na Marekani. Corona sio ugonjwa wa kutishia Afrika hasa chini ya jangwa la sahara. Nyie Wakenya mnajibaruguza tu.
 
Hao jamaa ni wajinga sana!

Wanakimbizana kutoa takwimu sijui ili wamfikie USA?

Wanaumia sana kuona tz maisha yanaemdelea huku wao wamejifungia ndani kama mwali
Wapuuzi kweli hao wakenya hasa viongozi wao ambao ni wafisadi wa kutupwa. Kibaya zaidi wanawatesa wananchi wao ambao ni masikini wa kutupwa mfano wale raia wa Kibera ambao hata Corona kwao sio ishu.
 
Habari hii inahusiana vipi na thread hii
 
Miss hongera kwa kutuhabarisha. Ila hayo macho...punguza kulembua utafanya tuuze ng'ombe zetu.
 
Sasa tz ilishindwaje kuelezea Kenya wao haawaamini Kama vipimo vinasaidia ili iwr hakuna kupima kabisa? Huu ndio uduwaanzi
Kenya ni nchi huru wana haki ya kuamini kila mzungu anachofanya, Tz pia tuko huru kufanya tunachotaka sasa na si kwa masharti au maelekezo ya mzungu. By the way, nchi nyingi zitakuja kufahamu kuwa, wameharibu uchumi wao na corona bado wako nayo, mpaka pale watakapokubali kuishi nayo. Corona itaondoka baada ya chanjo kupatikana....endeleeni na lockdown, sisi ni full shangwe....
 
Kama Kenya wanahofu kuhusu corona tz kwanini wanaruhusu madereva wao kuleta bidahaa zao huku tz.

Wakenya waache ujinga wawe na msimamo kama hawatuamini they should stop their people to visit our Tz.
 
Kinachowasumbua hawa jamaa ni wivu,wamejaribu lockdown, curfew,wamefanya mauaji kwa raia wako,wamekopa lMF,WB na bado Corona imekuwa ya kwao. Jana nilipata habari kwamba Hospital ya Kenyatta na Mbagathi imelemewa na wagonjwa.hayo yote yanawauma sana.ukizingatia TZ hatujafanya lolote kuumiza raia watu,na watalii wameanza kuja kwa wingi sana TZ,lazima iwaume.
 
Kama ingekuwepo kama ayo madai yenu, tungekuwa tunashuhudia vifo vingi sana na serikali isingeweza kuficha hata wafanye nini.

Hapa Zanzibar, watu ni careless kushinda maelezo kwenye suala zima la kupigana na covid19, na hakujatokea vifo kama vinavotokea nchi nyengine, na Zanzibar ni kisiwa kidogo tu, ndio kabisaaaa huwezi kuficha kitu. Wake up! Sio kila kitu akifanya mzungu ndio mnaona sawa au ni kweli! Wewe unaushahidi gani kama JMT ilikuwa ikiwapima hao "wagonjwa wa corona"? Au new Zealand? Au tunakaa na tunasikia kwenye media tu?

Wewe unataka kila siku serikali ikwambia kuwa tumepata wagonjwa wapya? kwamba haiwezekani watu kupona? haiwezekani ugonjwa ukaisha eneo fulani?

And by the way serikali haijasema hamna corona, inakubali uwepo wa corona, lakini hakuna kesi mpya hadi sasa.

Maradhi ya mripuko hayafichiki, utaumbuka tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…