Mkjj tunashukuru sana kwa kweli. Huu utanzania kila mmoja wetu anatakiwa kuwa nao ili siku moja Mungu akipenda tufaidi mali za nchi hii na isiwe kwa wachahce kama ilivyo sasa.
Kwa heshima yako mzee Mkjj naomba niongeze ambao nahisi umewaacha mkuu!
10. Edward Hosea- Takukuru ilipaswa kumake sure wezi wote wanarudisha kilicho chetu lakini mzee huyu ambaye Bunge lilisema aadhibiwe bado yuko pale anapiga porojo-hivi sisi pia tunaserikali kweli? Shame on us.
11. Jeetu Patel- I'm sure kuna mamilioni ya watz hawapo duniani kwa kukosa huduma ambazo zingetolewa na pesa alizoiba huyu mjinga
12. Mama Sofia Simba. Huyu mama mshahara tunamlipa kwa kodi zetu amepewa pesa ya kampeni UWT na mafisadi amekuwa chizi kabisa anatetea wezi wetu-This is really bad hivi watu kama hawa wanaendeleaje kuwa mawaziri kwani tumekosa watu kiasi hicho?
The list goes and on ila vita mbele jamani mpaka kieleweke.
Kwa heshima yako mzee Mkjj naomba niongeze ambao nahisi umewaacha mkuu!
10. Edward Hosea- Takukuru ilipaswa kumake sure wezi wote wanarudisha kilicho chetu lakini mzee huyu ambaye Bunge lilisema aadhibiwe bado yuko pale anapiga porojo-hivi sisi pia tunaserikali kweli? Shame on us.
11. Jeetu Patel- I'm sure kuna mamilioni ya watz hawapo duniani kwa kukosa huduma ambazo zingetolewa na pesa alizoiba huyu mjinga
12. Mama Sofia Simba. Huyu mama mshahara tunamlipa kwa kodi zetu amepewa pesa ya kampeni UWT na mafisadi amekuwa chizi kabisa anatetea wezi wetu-This is really bad hivi watu kama hawa wanaendeleaje kuwa mawaziri kwani tumekosa watu kiasi hicho?
The list goes and on ila vita mbele jamani mpaka kieleweke.