Mpaka watanzania wanaamua kusoma albadiri kwa wezi serikalini tunaelekea wapi kama taifa

Mpaka watanzania wanaamua kusoma albadiri kwa wezi serikalini tunaelekea wapi kama taifa

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
 
Lissu pia amesema majuzi kuwa wote watakaohusika kukwamisha mchakato wa KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya 2025, WALAANIWE!!!!!

Hata Mwl Nyerere alimlaani kwanza Idd Amini kabla ya kuingia vitani kumpiga.


Uvumilivu una kipimo.

Ni kheri kusikia kuliko kutia pamba masikioni.
 
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
Wananchi wa Tanga wameamua lini kusoma AlBadiri ?!!!

Huyo ni mfanyabiashara mmoja na wenzake wameamua kuisoma hiyo AlBadiri Uchawi.....wasiingizwe watanga wote......

Waende wakaroge tu...Mungu ni mlinzi wa wote.....

Mwigulu yupo...
Mbarawa yupo..
 
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
Tunaelekea fainali ya shirikisho afrika🤨
 
Wananchi wa Tanga wameamua lini kusoma AlBadiri ?!!!

Huyo ni mfanyabiashara mmoja na wenzake wameamua kuisoma hiyo AlBadiri Uchawi.....wasiingizwe watanga wote......

Waende wakaroge tu...Mungu ni mlinzi wa wote.....

Mwigulu yupo...
Mbarawa yupo..
😅😅😅
 
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
Serikali inaweza kuzuia, rejea ile waliyotaka kuwasomea waliompiga Lisu
 
Albadir = Uchawi.

Siamini Mungu wangu anaweza kuyasikia maombi yangu ya kumuombea mabaya mja wake mwingine.
 
Nimetafakari sana juu ya uamuzi wa wananchi wa Tanga kuandaa kisomo maalum kwa ajili ya viongozi na watendaji serikalini walioguswa kwenye ripoti ya CAG. Mbali na watu wa Tanga kuamua kufanya dua maalum kwa kina Mwigulu, Makame Mbarawa, Januari na wakubwa wengine waliotajwa na CAG. Pia yuko mtanzania mwingine ameamua kwenda mahakamani kuwashtaki watu hao hao waliotajwa na CAG.

Maamuzi haya ya wananchi kwa kumbukumbu zangu ndogo sina hakika kama matukio haya yamewahi kutokea hapa nchini tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Swali je ni watanzania wangapi wanapaza sauti juu ya watu hao ila hazisikiki kwa sababu ya umasikini wao, kutokuwa na simu janja ya kufika mitandaoni na kukosa bando la kuweza kuwasilisha hisia zake kwenye umma.
Ndugu yangu kwasasa TANZANIA haina viongozi, Ni hovyo kuliko hata hovyo yenyewe, huyu wasasa hawezi na wanaomzunguka ni majizi tu.
 
Back
Top Bottom