Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi zile 1.5trillion?Mwambie apiganie bilion 10 kwanza
Mungu ni mkubwa
bia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?Akili za bangi hizo
Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke
Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
Demokrasia huku Afrika ni mdudu gani huyo?ye anahangaikia tumbo lake kwa njia ya siasa na si demokrasia kama asemavyo"Nimefurahi kuwaona hapa leo mimi nipo imara kwani sina kesi ya kufumaniwa wala sijaiba kuku ila ninalipa Gharama ya kupigania Demokrasia"
Maneno ya Mdude leo Mahakamani.
Hakika ni meno machache ila yanatafakalish sana na kutia simanzi. View attachment 1460791
bia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?
mbona kuna watu maisha yao yote hawakuwahi kuwa na watoto licha ya kuwa na pesa na umaarufu ? mfano sherman hermsley ,mdude akizeeka hana mtoto kuna tatizo gani ?
Mbona umehamaki sana?Akili za bangi hizo
Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke
Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
Muda unasubiri wajinga kama nani
Mkuu kubishana na huyo kichaa ni kupoteza muda wakobia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?
mbona kuna watu maisha yao yote hawakuwahi kuwa na watoto licha ya kuwa na pesa na umaarufu ? mfano sherman hermsley ,mdude akizeeka hana mtoto kuna tatizo gani ?
Sijawahi kujua kuwa kumbe tanzania kuna watu hawapo huru[emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa ushauri mkuu sasa tuzidi kuwa kitu kimoja kuna siku tutashinda.
The freedom is coming tomorrow
Anatia huruma na nywele zake za kipilipili, 'makamanda' wamemtosa akili zinaendeshwa na njaa.Akili za bangi hizo
Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke
Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
SawaDemokrasia huku Afrika ni mdudu gani huyo?ye anahangaikia tumbo lake kwa njia ya siasa na si demokrasia kama asemavyo
Too personalAnatia huruma na nywele zake za kipilipili, 'makamanda' wamemtosa akili zinaendeshwa na njaa.
We Ni mpumbavu inawezekana bro!!Umeandika upuuzi mtupu..hiv huwez kutumia common sense kujua sarakas za hizo kesi au ww ni dubwasha la lumumba unafurahia wenzenu kubambikiwa makesi
Anatia huruma na nywele zake za kipilipili, 'makamanda' wamemtosa akili zinaendeshwa na njaa.
ZABURI 23:1-7 "Nijapopita kati ya bonde la uvuli wa Mauti hutaniacha"Upande wa mashtaka umemuondolea kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali shtaka la uhujumu uchumi lililokuwa likimkabili na kumfungulia shtaka la jinai la kusafirisha dawa za kulevya.
Hii ndiyo taarifa mpya kutoka mahakamani huko Mbeya .
Sasa amebambikwa mashitaka mapya ya usafirishaji wa madawa ya kulevya .
Tuendelee kumuombea .
Pi soma
Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi - JamiiForums
1). Dar, Kinondoni: Yaliyojiri Mkutano wa CHADEMA na Wanahabari, Mdude Nyagali awadai Polisi fidia ya Mil 500 - JamiiForums
2). Mdude Nyagali: Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam Bohari Kuu. Tukiwambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika - JamiiForums
3). Mdude Nyagali kufungua kesi mahakamani kwa hati ya dharura kuhusu pesa za wahanga tetemeko Kagera - JamiiForums
4). John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA) - JamiiForums
5). Mbeya: Mdude Nyagali apatikana akiwa hai baada ya kupotea kwa siku 4 - JamiiForums
6). Mdude Nyagali na lugha yake ya kiukosoaji katika mitandao ya kijamii - JamiiForums
Umekosa hoja unabaki kuongea uongo?mkuu huyo kijana analipwa atakupotezea muda
Demokrasia huku Afrika ni mdudu gani huyo?ye anahangaikia tumbo lake kwa njia ya siasa na si demokrasia kama asemavyo