Mpaluka Mdude Nyagali abadilishiwa mashtaka ya Uhujumu uchumi, asomewa ya Kusafirisha Dawa za Kulevya

Mpaluka Mdude Nyagali abadilishiwa mashtaka ya Uhujumu uchumi, asomewa ya Kusafirisha Dawa za Kulevya

Akili za bangi hizo

Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke

Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
bia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?
mbona kuna watu maisha yao yote hawakuwahi kuwa na watoto licha ya kuwa na pesa na umaarufu ? mfano sherman hermsley ,mdude akizeeka hana mtoto kuna tatizo gani ?
 
"Nimefurahi kuwaona hapa leo mimi nipo imara kwani sina kesi ya kufumaniwa wala sijaiba kuku ila ninalipa Gharama ya kupigania Demokrasia"

Maneno ya Mdude leo Mahakamani.

Hakika ni meno machache ila yanatafakalish sana na kutia simanzi. View attachment 1460791
Demokrasia huku Afrika ni mdudu gani huyo?ye anahangaikia tumbo lake kwa njia ya siasa na si demokrasia kama asemavyo
 
Ni mpuuzi tu hata hajui maana ya demokrasia

Nimemfuatilia kumbe aliishia la saba

Mtu aliyeishia la saba anajua hata maana ya demokrasia au anajua matusi tu
bia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?
mbona kuna watu maisha yao yote hawakuwahi kuwa na watoto licha ya kuwa na pesa na umaarufu ? mfano sherman hermsley ,mdude akizeeka hana mtoto kuna tatizo gani ?
 
Akili za bangi hizo

Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke

Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
Mbona umehamaki sana?
 
bia yetu wewe una watoto wangapi mpaka sasa kwani ?
mbona kuna watu maisha yao yote hawakuwahi kuwa na watoto licha ya kuwa na pesa na umaarufu ? mfano sherman hermsley ,mdude akizeeka hana mtoto kuna tatizo gani ?
Mkuu kubishana na huyo kichaa ni kupoteza muda wako
 
Akili za bangi hizo

Siku akijua anajipotezea muda wa kuanzisha famila atakua hana uwezo wa kujaza mimba mwanamke

Endeleeni kumjaza ujinga muda hausubiri wajinga km hao
Anatia huruma na nywele zake za kipilipili, 'makamanda' wamemtosa akili zinaendeshwa na njaa.
 
Wabunge wako wa CCM akina msukuma, Deo Sanga, Lameck waliishia darasa la ngapi kama siyo la saba? Halafu ndio wanaokutungia sheria ujue.
 
Back
Top Bottom