Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Mpambano huu uwe na nia ya kuburudika lakini pia kujifunza na kuongeza ufahamu kuhusu jamii ya kaliba moja lakini mazingira tofauti wanavyoweza kutofautiana makubwa

Ni mpambano wa wanawake wa Dar vs wa mikoani, ni vema uwe tofauti kabisa na ule wa wanaume wa Dar vs wa mikoani ambao umegeuka kuwa dhihaka na kutambiana sometimes na matusi juu.....

Wanawake ni walezi wetu, ndio wanaotuzaa na mengine mengi... Bila wao maisha hayana maana sasa usikandie hapa halafu usiku ukalielie huko chumbani

Labda niseme tu kwamba kila upande una mazuri na mabaya yake. Wanaume wa dar wakiwa wamechoshwa na wanawake wa mjini ambao wanaenda na wakati mpaka wanasahau majukumu yao muhimu na wengi wakiwa jeuri na wajuaji hukimbilia mikoani vijijini kwenye mabinti ambao hawana shobo za kwenda na wakati...

Tatizo linakuja huyo wa kijijini unapofika bei na kumleta mjini... Ulimbukeni na ushamba huku akitaka kuiga ili aende na wakati hugeuka janga namba moja.....!!!

Mwisho maamuzi huwa magumu uchukue yupi? Mjuaji wa mjini au wife material wa kijijini!? Je akibadilika!?

Kuna mengi kati ya hawa ndugu wa jinsia moja wanaotenganishwa na mazingira... Twende kazi.

luluzzfamily_Bfp1W0WlLW3.jpg


20180226_224113.png
 
Inatia huruma sana na pengine labda ni ufaa kwenye utosi..sababu inakuaje mwanaume unaejitambua kuandika uzi wa namna hii??

Mwanaume unaejitambua Unakuwaje na gallery yenye picha kama unazopost wewe..??

Unaweza ukakana uraia wako na kulia kabisa kuona kuna wachangiaji..rubbish kabisa!!
 
Back
Top Bottom