Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh ndugu yangu.. Wa mjini hawakawii kukurekodi.. Hawakawii kukuletea mchepuko ukatambulishwa kama binamu... Hawakawii kukuomba simati foni na kodi au pesa ya kusukia sangita.... Wa mikoani nao hachelewi kukwambia mpeleke feri akale udaga na pwezamshana jr toka jana niko dar kwa muda wote wa kazi ntakuwa dar es salaam sasa nambie mimi nitapambana na wa dar es salaam kwakuwa nimetoka mikoani au nitakutana na wamikoani wapambane na mimi shauri.
Hahaaaa Nampenda sana aiseee tatizo lake hakawii kupigwa ban ..mwisho wasiku ananikosesha uhondo mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuona kaka yetu
Hahahahahahaaaaa.Mmh ndugu yangu.. Wa mjini hawakawii kukurekodi.. Hawakawii kukuletea mchepuko ukatambulishwa kama binamu... Hawakawii kukuomba simati foni na kodi au pesa ya kusukia sangita.... Wa mikoani nao hachelewi kukwambia mpeleke feri akale udaga na pweza
Omwana we wa darisalama ee[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124] napita kwa mwendo wa kimkoani
Haaaaa haaaaa....uwiii my ribsInatia huruma sana na pengine labda ni ufaa kwenye utosi..sababu inakuaje mwanaume unaejitambua kuandika uzi wa namna hii??
Mwanaume unaejitambua Unakuwaje na gallery yenye picha kama unazopost wewe..??
Unaweza ukakana uraia wako na kulia kabisa kuona kuna wachangiaji..rubbish kabisa!!
Inakuwaje unapost vitu kama hivi halafu eti nawewe unatarajia kuolewa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuona kaka yetu
hahaaaaaInakuwaje unapost vitu kama hivi halafu eti nawewe unatarajia kuolewa?
Mungu niepushe na wanawake wa aina hii...Idiot!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] limchezo gani hilo...!!! Mwambie hii ni katitu mumieDemu hata kuongea kwa pozi hajui; aaaaaargh! Badala ya kusema "bwana chige nini, anh...!" Atasema "we chige, ndo limchezo gani hilo?"
Ahsanteni kwa kuja lakini Dar hakuna mashamba na kwahiyo umuhiumu wenu mjini ni zero... kwahiyo mnaweza kurudi tu nyumbani!
Omwana mie wa mkoani MaaOmwana we wa darisalama ee
Kiruuuuuu [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Takuja.. Nipokee