Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Inatia huruma sana na pengine labda ni ufaa kwenye utosi..sababu inakuaje mwanaume unaejitambua kuandika uzi wa namna hii??
Mwanaume unaejitambua Unakuwaje na gallery yenye picha kama unazopost wewe..??
Unaweza ukakana uraia wako na kulia kabisa kuona kuna wachangiaji..rubbish kabisa!!
Umemuona mtaaalamu wetuvwa kukosoa? Anakwambia yy ni team negativity.[emoji144][emoji144][emoji144]
CC. hearly