Hahaha.Inatia huruma sana na pengine labda ni ufaa kwenye utosi..sababu inakuaje mwanaume unaejitambua kuandika uzi wa namna hii??
Mwanaume unaejitambua Unakuwaje na gallery yenye picha kama unazopost wewe..??
Unaweza ukakana uraia wako na kulia kabisa kuona kuna wachangiaji..rubbish kabisa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya tumekusikiaAhaa jamii foram wamejaa wanawake wenye vidole vilivyokomaa[emoji2][emoji2]...nishajua,watoto wa dar wachache sana humu
Sijui yeye anakulaga nini au jini kama si uongoNa tena tunapika vizuri kabisa.
Dah mnawadharilisha wa mkoani jamani
Dah narudi kijijini huo msambwanda unasusiwa bure kijijini mjini si chini ya laki 2
Mmh ndugu yangu.. Wa mjini hawakawii kukurekodi.. Hawakawii kukuletea mchepuko ukatambulishwa kama binamu... Hawakawii kukuomba simati foni na kodi au pesa ya kusukia sangita.... Wa mikoani nao hachelewi kukwambia mpeleke feri akale udaga na pweza
Unasema mademu wa musoma ni rahisi sana kuwagonga hakafu unataja KIABAKARI NA MWANZA. Hujui musoma ni wapi, mwanza ni wapi na kiabakari ni wapi?
Mwisho anakuwa kama mdoli vile...Tatizo wanawake wa dar ni fake kuanzia nywele, kucha, rangi ya mwili, mpaka wanaweka bikra fake siku hz. Muda mwingi wao kutengeneza mwili sijui wanapika saa ngapi
Mkuu umesahau kama uko Jeiefu ukadhani uko kijijini..?!?[emoji13] [emoji13] [emoji13]Balenengelo bangabhopa
Ahahaha uyu wa kimini cha jeans nljua mwanaume
Hawa ni wa dar ila walienda kijijin kwao kusalimia