Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Anhaaa... sasa kwanini mshana jr anaogopa kuniita shemeji? Au anadhani utakapokuwa haupo ntamtaka anitengee maji ya kuoga???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].... Usipontaka lazi itakula kwako
 
Msongo wa mawazo na maisha magumu yanayokukabili yasiwakwaze wengine washindwe kufurahi waonavyo wao. Uzi hauna tatizo lolote ila wewe ndio tatizo.
 
Msongo wa mawazo na maisha magumu yanayokukabili yasiwakwaze wengine washindwe kufurahi waonavyo wao. Uzi hauna tatizo lolote ila wewe ndio tatizo.
@namuhi wapuuzi hawajibiwi next time usipoteze muda wako kwa watu wa namna hii.. It won't do you any good
 
Mleta mada wewe ni Ke au Me? Nauliza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…