Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

4158b8000517688a06e3b943b68b3464.jpg
ngombe wa kwetu wana afya
 
Hii game wa town washapigwa mapema tu. Mie ujue naishi mkoani. Yaani vitu wanavyofanya hawa madada wa huku ni nouma. Gunia la mpunga kg 150 anakokota kwa baiskeli na njia mbovu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii reply wa mjini wataisoma kimya kimya
 
Hii game wa town washapigwa mapema tu. Mie ujue naishi mkoani. Yaani vitu wanavyofanya hawa madada wa huku ni nouma. Gunia la mpunga kg 150 anakokota kwa baiskeli na njia mbovu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Wa Dar ntafanya mchepuko wa kuuuzia sura tuu,huyu wa mkoani ndio atakuwa wife material ila elimu mwisho Form 4.
 
Inatia huruma sana na pengine labda ni ufaa kwenye utosi..sababu inakuaje mwanaume unaejitambua kuandika uzi wa namna hii??

Mwanaume unaejitambua Unakuwaje na gallery yenye picha kama unazopost wewe..??

Unaweza ukakana uraia wako na kulia kabisa kuona kuna wachangiaji..rubbish kabisa!!
kama kawa mashambulizi yanaendelea WATANYOOKA TU.....
 
Back
Top Bottom