Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa... kumbe!!Wa mkoani nimekuja
Nitarud baadae kupita page kwa page
Kwahiyo wewe ni shemela...Ndio
Muongezee ka certificate ka ushonaji au nursing baaasi.Wa Dar ntafanya mchepuko wa kuuuzia sura tuu,huyu wa mkoani ndio atakuwa wife material ila elimu mwisho Form 4.
No Comment![]()
![]()
Wanawake wa Dar ni wazuri ila hawaolewi wakatulia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] funika bovu hiiDar ladies mmmh! Kwa siku moja anaweza kupanga wanaume watano.
1: Atamfuata bwana wa Kimara asubuhi ataenda kunywa supu na bia 2.Ataaga anamfuata shangazi ubungo( uongo).atapewa nauli ya tax, atapanda boda au UDART
2: Atampigia wa Mburahati atapewa hela ya nywele na nauli
3: Mchana atampigia wa Posta, wataenda kula Break point, atapewa nauli
4: Atabaki Posta ( atahamisha kijiwe tu) atapigwa bia ( hawalewi)
5: Jioni ataenda Kijitonyama atapiga chakula( mbuzi/ kuku na ndizi choma. Atakula raha hadi saa 5 .Atapewa nauli ya tax arejee home Magomeni. Atachukua bajaji huyooooo kama mwewe wa clouds.
Wanawake wa DSM kiboko
Kauli yako imenipa Heart attack [emoji6] [emoji6] [emoji6]Kwa nchi ( Tanzania ) Wema Sepetu ni kila kitu sijaona mwanamke / mrembo wa kufanana nae