Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafikiri labda ukamando ni kama ule wa Komando Jide alias Jaydee, hahah Komando ni Elite soldiers sio kitoto kuwatrain mpaka kuwapata waliowiva.Kiufupi huyo jamaa ni muongo sana . Mafunzo ya commando hayafanyiki kwa mtu mwenye matiti na km. LABDA KAMA ALIFANYIA CHINA AU ULAYA KWENYE COMPUTER [emoji1787] Siku hizi mtu akifanya mafunzo ya scout anasema ni commando.
Kazi kubwa ya Mpambe siyo body guard.Tazama picha zake hapo chini
Anaenda kwa jina la Bi Damaris Agnetta
Luteni Kanali wa Jeshi la Kenya
Hongereni sana wakinaMama duniani kote kwa uwezo mkubwa mnaozidi kuuonyesha kila siku
Mungu azidi kuwabariki!
View attachment 2380990
View attachment 2380993
Sio lazima kila kitu tuwaige wao, kwao ushoga ruksa,vipi tuige na hayo?Mbona Maraisi wa Nchi zilizoendelea hatuoni Wanajeshi kumsindikiza Kiongozi?
Tuige yale mazuri,Tuzi mali yako, huwezi kulazimishwa uigawe.Sio lazima kila kitu tuwaige wao, kwao ushoga ruksa,vipi tuige na hayo?
Exactly mkuu, madikteta ya kiafrika always wamezungukwa na show off hii, nchi sasa ina wapambe hadi kwa igp, cdf hadi RPC's why?,sijawahi kumwona president wa Botswana amezungukwa na utitiri huu,au president wa SA mwenye very powerful army hapa Africa upuuzi huu hana, why wasivae kiraia tu?,mbeba mfuko wa keys za kuanzisha nyukilia war wa president wa US always amevaa kiraia, haya ni mambo ya kutishana kusiko leta tija yeyote, tuachane na old fashion hiiMwanajeshi ni uwakilishi wa jeshi pale alipo rais, ni inferiority ya mfumo wa utawala kwa nchi za kiafrika kuonyesha mabavu, kwamba alipo jeshi lipo msimchezee wala haina maana yoyote
kazi ya ADC sio kumlinda RaisSasa huyu anaweza vipi kumlinda Rutto? Ndiyo maana yule jamaa alikuwa anasema anaweza kuiteka Nairobi kwa wiki mbili. Gadhaffi aliyekuwa analindwa na mashoga yuko wapi? Hawa mashoga ni unreliable.
Amepitia mafunzo maalumuJapo hujaniuliza mimi, ila tumeshaona waziri wa ulinzi mwanamke hapa itakuwa huyo mpambe tu. Kwanza mpambe zaidi ya kusogeza kiti, kubeba nyaraka na kuwakilisha jeshi ana lipi jipya?
Title imetaja ukomandoo kama ishu saana kimsingi hata angekuwa nani haina maana yoyote ikiwa atakuwa mpambe tu
Mpambe halindiSasa huyu anaweza vipi kumlinda Rutto? Ndiyo maana yule jamaa alikuwa anasema anaweza kuiteka Nairobi kwa wiki mbili. Gadhaffi aliyekuwa analindwa na mashoga yuko wapi? Hawa mashoga ni unreliable.
Ninavyojua mimi, hayupo Komandoo wa kike duninai! Unless kama niliwahi kudanganywaTazama picha zake hapo chini
Anaenda kwa jina la Bi Damaris Agnetta
Luteni Kanali wa Jeshi la Kenya
Hongereni sana wakinaMama duniani kote kwa uwezo mkubwa mnaozidi kuuonyesha kila siku
Mungu azidi kuwabariki!
View attachment 2380990View attachment 2380993