Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unataka hii iwe habari kubwa...Mzee hata ww haupo siriaz kichwaniWaandishi wa habari fuatiliane mkahoji Bwana harusi,bibi harusi na wazazi na huyo aliyekuwa afungishe hiyo ndoa halafu muweke full story nini kilitokea hasa
Uandishi uliowekwa haujajitosheleza kwa kweli
Sijui alikwama wapi na yeyeNingekua ni mimi hapo hapo ukumbini ningejivutia chuma nyingne 😁😁
Basi atakua kashapewa tabia za mama yake na hawezi kuolewa tena uyo yanakuaga majinga sana kila kitu lazima limwambie mama yake alafu yakiona kama una uhitaji ndio yanakutesa sana kwaio alicho kifanya Edo io ndio dawa yao na muda huu watakuwa huko wanaugulia maumivu 🤣🤣🤣Bi harusi anaishi na mama yake tu. Ushaona mtoto anayeishi na mama yake tu anakuwa na akili?
Waandishi wa habari umewaona wapi? Kuna watoa taarifa Tanzania na sio waandishiWaandishi wa habari fuatiliane mkahoji Bwana harusi,bibi harusi na wazazi na huyo aliyekuwa afungishe hiyo ndoa halafu muweke full story nini kilitokea hasa
Uandishi uliowekwa haujajitosheleza kwa kweli
Ndio itakua tabu juu ya tabu. Mtu umwambie wewe njoo hapa nikuone tena mbele za watu aje? Hata Mobeto anagomaSijui alikwama wapi na yeye
Hahaa muhimu bibi harusiNdio itakua tabu juu ya tabu. Mtu umwambie wewe njoo hapa nikuone tena mbele za watu aje? Hata Mobeto anagoma
Bila shaka huyo binti atakua mlokole 😊Sijui alikwama wapi na yeye
Amemkomesha ,Kwa nini alazimishe Kuoa mtu hamtaki?Kama ameweza kumfanyia hivyo siku ya harusi Kuna ulazima Gani wa kuendelea kuwa naye unless walifanya hivyo ni wazazi wa binti na sio binti mwenyewe.
Kitu ninachojua ni kwamba kupitia hiyo part jamaa itakuwa kapata mchumba mwingine tayariYaan uhangaike wakat ushamzalisha?
Kweli hata wajinga huzeeka,
Wazee wa Bibi Harusi wamezeeka na ujinga wao.
Pombe akunyweshe mwenyewe halafu akulaumu ukichangamkaUtaendaje kwa anayekudai ukiwa umechangamka?
Inatakiwa uende kinyonge..😅
Pombe sio chai.
Mmeamua kututukania mama zetu sasa, kisa Kuna mtu kakataa kuolewa?Bi harusi anaishi na mama yake tu. Ushaona mtoto anayeishi na mama yake tu anakuwa na akili?