Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Mkuu unataka tumhamishe kienyeji?

Bila kushirikisha serikali, Bila kuvunja chumba chake wala kumdhuru ?

Bibi yangu anamkandamiza huyo ndani ya siku chache tu anahama
Ahsante kwa ushauri, tu nakwenda nae kisheria kwanza akiendelea kuwa jeuri ushauri wako utatekelezwa kikamilifu ! Anacheza na mali za watu!
 
Back
Top Bottom