TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Kuna mpangaji wangu amechukua hatua ya kwenda kushitaki na kuomba muafaka ili arudishiwe kodi yake baada ya wezi kuingia chumbani kwake na kumuibia baada ya kusahau kufunga mlango.
Sasa ameomba nimrudishie kodi yake kitu ambacho nilikiweka wazi kwenye mkataba kwamba hakuna pesa itakayorudishwa iwapo mpangaji ataamua kuvunja mkataba na kuhama kwa hiyali yake.
Hii imekaaje wadau,je mkataba kama huu unambana mpangaji?
Kuna mpangaji wangu amechukua hatua ya kwenda kushitaki na kuomba muafaka ili arudishiwe kodi yake baada ya wezi kuingia chumbani kwake na kumuibia baada ya kusahau kufunga mlango.
Sasa ameomba nimrudishie kodi yake kitu ambacho nilikiweka wazi kwenye mkataba kwamba hakuna pesa itakayorudishwa iwapo mpangaji ataamua kuvunja mkataba na kuhama kwa hiyali yake.
Hii imekaaje wadau,je mkataba kama huu unambana mpangaji?