Wadau nina mpangaji kwenye nyumba yangu namdai kodi ya mwaka mzima 2019 na na huu sasa ni mwezi wa 3 2020.
Ana familia na watoto 4 wadogo wadogo
Nimeisha mpa notisi ya kuhama toka mwaka jana mwezi wa 8 alipe deni na kuhama lakini halipi na ahami.
Nimempeleka kwa balozi mara kadhaa lakini jamaa ahami na hela halipi.
Anapotea sijui hata huwa narudi saa ngapi kulala kila siku anajifanya kasafiri wakati yupo mjini.
Je nitumie taratibu gani kumtoa na notisi ya kuhama anayo na nakala ipo kwa balozi
Nikaninginizi kufuli au?
Naogopa nisije kuambiwa nanyanyasa watoto wakalala nje
Naombeni muongozo wa kisheria
Ana familia na watoto 4 wadogo wadogo
Nimeisha mpa notisi ya kuhama toka mwaka jana mwezi wa 8 alipe deni na kuhama lakini halipi na ahami.
Nimempeleka kwa balozi mara kadhaa lakini jamaa ahami na hela halipi.
Anapotea sijui hata huwa narudi saa ngapi kulala kila siku anajifanya kasafiri wakati yupo mjini.
Je nitumie taratibu gani kumtoa na notisi ya kuhama anayo na nakala ipo kwa balozi
Nikaninginizi kufuli au?
Naogopa nisije kuambiwa nanyanyasa watoto wakalala nje
Naombeni muongozo wa kisheria