Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
- Thread starter
- #21
Kweli mkuu ndiyo maana amehama hata kuniaga hajaniagaAISEE MKUU UMEMKERA TO THE MAXIMUM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu ndiyo maana amehama hata kuniaga hajaniagaAISEE MKUU UMEMKERA TO THE MAXIMUM
Yeah ili tujue wanasheria wasomi mnaamuajeKwa hiyo umekuja kumshtakia?
Ndiyo maana niliomba nipewe angalau miezi kadhaa ili niweze kuhama matokeo yake amehama yeye baada ya kuona ombi langu limekubaliwaYan bongo jau, mtu ukiamua kuishi kwa standard yako wanasema unaringa,
Kwa hio mkuu huyo jamaa aendelee kuteseka na moshi kisa nn?
Hamna namna nyingine waweza fanya kupunguza hiyo keroKweli mkuu ndiyo maana amehama hata kuniaga hajaniaga
Ila pia na mazingira anadai yalikua machafu kwamaana hiyo siyo moshi tuu, ingawa huwa najitahidi kusafisha baada ya kukamilisha Shughuli zanguHamna namna nyingine waweza fanya kupunguza hiyo kero
Iko namna hiiYeah ili tujue wanasheria wasomi mnaamuaje
Unajua sisi tunaofanya shughuli za kucheza na moto tunadharaulika sana mkuu ingawa ndiyo hizo zinasababisha watoto wetu wanaenda shuleni na hata kulipia KodiIko namna hii
Kama hauvunji sheria katika mihangaiko yako. just ongeza bidii usijali wanasemaje ama wanakuonaje
We ni chizi hata mm ningehama moshi ni sumu ule usijione mjanja
We ni chizi hata mm ningehama moshi ni sumu ule usijione mjanja
Mkuu moshi wenyewe moshi basi sanasana huwa napikia mkaa ila ikitokea nimekwama huwa napikia kuni za kuokoteza.so ulitaka avumilie moshi
Sio kosa, siwez ishi kwa miez kadhaa hadi mwakani (manake miezi 12 hiv) kwa shida kisa shughuli zako mzee wakati naweza hama nikaishi kwa amani,Ndiyo maana niliomba nipewe angalau miezi kadhaa ili niweze kuhama matokeo yake amehama yeye baada ya kuona ombi langu limekubaliwa
Unaonaje hii busara angeitumia kabla hajaenda kwa wenye nyumba ili nipewe notes nihame, angekua ametisha eeehJamaa ni muelewa sana kaona yasiwe mengi nyumba za kupanga ni nyingi si ajabu hajamaliza hata kodi yake..
Hata mimi ningefanya hivyo.
Kwani napika ndani kwake mkuu, si napikia nje kama moshi unaingia hauwezi kuwa ule moshi ambao utaleta dameji kwa afya yakeUchumi gani ulionao umeshindwa kutafuta mbadala wa huo Moshi unaokera majirani na afya zao?
Karne hii bado unapiliza moto?
Pole sana ila kumbuka unaweza kukusanya hela zikaishia hospital ujue hilo
Ndio maana wamevumbua gas