Mpangilio wa makazi jijini Dar es salaam

Mpangilio wa makazi jijini Dar es salaam

Suzie

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
1,267
Reaction score
421
Nimejaribu kuwaza namna na mpangilio wa Makazi haswa kwa uzoefu wangu kuishi Jiji la Dar. Inakuwaje huwezi kuona hili ni eneo flani wanaishi matajiri na halipaswi kuwa na viklabu uchwara au maduka ya Mangi kama Masaki. Nashangaa Masaki pia kuna wauza njegere na wanunua vyuma chakavu kibao.

Kali zaidi kuna watoto wanaosoma Tandale primary school na kali ya zote daladala za Gongolamboto na Ubungo zinjaza. Labda tueleweshane nini kifanyike ili tuangalie hata pato la nchi litokee kwa hao wakazi wa Masaki.

Oystebay sijapataja sababu wale ni wahuni walijigawia nyumba zetu na sasa wengi wamestaafu hawajiwezi wanaishi kwa Historia tu
 
Sio rahisi.. nature ngumu. Si unaona hata uzi wako umegoma kuweka aya wala alama ya mkato.. tumesoma mfululu km tunakunywa maji..
Hapo kwenye daladala kujaza sijamuelewa kabisa 😀
 
Nimejaribu kuwaza namna na mpangilio wa Makazi haswa kwa uzoefu wangu kuishi Jiji la Dar. Inakuwaje huwezi kuona hili ni eneo flani wanaishi matajiri na halipaswi kuwa na viklabu uchwara au maduka ya Mangi kama Masaki. Nashangaa Masaki pia kuna wauza njegere na wanunua vyuma chakavu kibao. Kali zaidi kuna watoto wanaosoma Tandale primary school na kali ya zote daladala za Gongolamboto na Ubungo zinjaza. Labda tueleweshane nini kifanyike ili tuangalie hata pato la nchi litokee kwa hao wakazi wa Masaki. Oystebay sijapataja sababu wale ni wahuni walijigawia nyumba zetu na sasa wengi wamestaafu hawajiwezi wanaishi kwa Historia tu
Pale nchi inapokosa muelekeo na kugeukia uchumi wa FREMU.Hata mipango miji na usafi hauzingatiwi tena Tz is another Congo in the line,,,,,,
 
Mambo mengi hatujawahi kuwa serious.... Tunachoweza ni uchawa tu.
Next DRC is loading.Tuendelee KUGARAUKA UNTIL ITS NOT POSSIBLE AGAIN!!!

WAJINGA WAJINGA NDIO MAINFLUENCER NA VIOO VYA JAMII,WASOMI WAMEKAA KANDO NA KUACHIA UJINGA UMETAMALAKI.KILA MTU ANAPIGANIA TUMBO LAKE HAKUNA ANAYEWAZA KESHO ITAKIWAJE.NI HUZUNI!!!!
 
Nimejaribu kuwaza namna na mpangilio wa Makazi haswa kwa uzoefu wangu kuishi Jiji la Dar. Inakuwaje huwezi kuona hili ni eneo flani wanaishi matajiri na halipaswi kuwa na viklabu uchwara au maduka ya Mangi kama Masaki. Nashangaa Masaki pia kuna wauza njegere na wanunua vyuma chakavu kibao.

Kali zaidi kuna watoto wanaosoma Tandale primary school na kali ya zote daladala za Gongolamboto na Ubungo zinjaza. Labda tueleweshane nini kifanyike ili tuangalie hata pato la nchi litokee kwa hao wakazi wa Masaki.

Oystebay sijapataja sababu wale ni wahuni walijigawia nyumba zetu na sasa wengi wamestaafu hawajiwezi wanaishi kwa Historia tu
Pwani yote ukitoa Tanga. Kwingine ni hovyo hovyo tu. Dar..moro. lindi pwani na mtwara wanajenga bila.utaratibu
 
Back
Top Bottom