“Niwapongeze wote walioteuliwa mmepewa dhamana kubwa ni matumaini ya Mh. Rais na Watanzania kwamba mtakwenda kucheza vizuri katika nafasi hizo niwaombe moja tu asije akafikiria yoyote yule nikiwemo Mimi Makamo wako Mheshimiwa Rais kwamba nafasi yangu haiwezi kuzibwa.”
“Ni muhimu sana kuzingatia kama Viongozi kwamba Amiri Jeshi Mkuu wakati wowote anaweza kutengeneza Timu yake ili kupata ushindi, kuwaletea ushindi Watanzania.”
Naona vijembe kwa Nape na January bado vinaendelea, ni humu tu!
“... asije akafikiria yoyote yule nikiwemo Mimi Makamo wako Mheshimiwa Rais kwamba nafasi yangu haiwezi kuzibwa”
“Ni muhimu sana kuzingatia kama Viongozi kwamba Amiri Jeshi Mkuu wakati wowote anaweza kutengeneza Timu yake ili kupata ushindi, kuwaletea ushindi Watanzania”.
kwahiyo samia asufikiri hata kidogo kwamba wapinzani hawawezi ongoza nchi.....kisa yeye amepata nafasi basi asidharau ambao bado hawajaipata hiyo nafasi akidhania yeye tu ndio anaiwezea. Mpango mtu makini sana...tunamshukuru kwa uelewa wake mpana