Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Kwahio ukiwaona Watu usiowapenda tu basi wanapanga njama chafu. Wewe kweli ni mbuzi
 
daa umetisha sana great thinker
 
Mbowe anatakiwa kuripoti mahakamani kila alhamis na hatakiwi kutoka nje ya mkoa bila kibali maalumu so huko Marekani ameendaje?
Atakuwa katumia passport bandia au ya Kenya yenye jina tofauti kujificha .uwezekano mkubwa ni atakuwa katumia ya Kenya
 
Mbowe anatakiwa kuripoti mahakamani kila alhamis na hatakiwi kutoka nje ya mkoa bila kibali maalumu so huko Marekani ameendaje?
Atakuwa katumia passport bandia au ya Kenya yenye jina tofauti kujificha .uwezekano mkubwa ni atakuwa katumia ya Kenya
 
Kwani Mbowe kukutana na diaspora ni kosa?
 

Where'z 1.5Trillions TZS?

Clown!
 
Naiman unasimu ya kamera. Umeshindwa nini kumpiga picha na kutuwekea hapa?
 
Musiba Marekani umeenda lini ndugu yangu ?
 
Marekani wapi na wapi wakati we wa Dar?

Juzi tu April 5, 2018 uliandika uziusemao "JUKWAA LA WAHARIRI MNAFANYA KOSA LILE LILE LILILOFANYWA NA MAASKOFU WA KKT NA TEC"

Soma aya ya mwisho ulipojipambanua vizuri.

Ukitaka kuwa mwongo uwe na kumbukumbu nzuri.

Shame on you!
 
..kumbe kuna watanzania wapumbavu kama mleta mada wanaoishi marekani!...wewe utakua muosha vyombo tu....maana akili huna...
 
Mtoa mada Msalimie sana ndugu yetu mkuu wa wilaya ya Kinondoni.. Mtaarifu tunafurahia uongozi wake unaoacha Alama. Mtaarifu pia hiyo ofisi aliwahi kuikalia Jordan Rugimbana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…