Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Umevurugwa wewe,Mbowe hajasafiri yupo hapa hapa tz akiendelea na shughuli zake.Jana usiku alikuwa na kikao na wafanyakazi wa kampuni yake ya magazeti.Unaposema ameenda bila vyombo vya habari kujuwa huo ni ufinyu wa fikra,je kagame hutoa taarifa?
 
Ni kweli kabsa bw msiba hata mimi nlimwona mbowe akiwa na huyo mange na Lissu walikaa palm hotel hapa Marekani baada ya hapo wakaenda kwa yule jamaa anayependa kumkosoa Trump aliyekuwa mkurugenzi wa FBI
 
Huyo anaishi sigimbi.
 
Mbowe anatakiwa kuripoti mahakamani kila alhamis na hatakiwi kutoka nje ya mkoa bila kibali maalumu so huko Marekani ameendaje?
Huyu ni le mutuz wamekosea wamesahau kuhusu kesi.
Watabadilisha watasema ni skype meeting.
 
ahsante kwa kuhamasisha maandamano
 
kama "madayasipora" ndio aina hii ya mleta mada, basi nina kila sababu ya kuunga mkono jitahada za serikali za kuwanyima uraia pacha.

tukutane april 26.
Kaka Ni huyo mpuuzi mmoja pekee, hapa maandamano Kama kawaida niamini mimi sisi watanzania tuishio US tunakutana tarehe 25 nje ya ubalozi wetu.
 
Manyani ya Lumumba at work.

Marekani hakuna mtu mjinga kama muandishi wa hii takataka.

By the way ni nini kilichokukimbiza Tanzania mpaka umeenda kuishi ukimbizini huko Marekani?

Wanaume tuko Bongo na Muhutu ataelewa tu tarehe 26.
 
Mgao ktk ile 1.5 tr umepata sh ngp mkuu? Naona unajitoa ufaham hadharani
 
Hongera Mr. Musiba. Naona upo kazini!!!hizi ndio kati ya Kazi za kilaghai ulizopewa na kuhakikishiwa ulinzi.!??? Endelea ila tunakuona zuzu tu kama si zwazwa.
 
Huyu jamaa aliyeandika habari hii anaishi Mererani wala siyo marekani.
 
Wewe DC mzima unahangaika na mambo ambayo huna uhakika nayo ndugu yangu, si ungekaa ofisini utatue kero za watu? Sio mbaya ndio huenda liko kwenye ratiba yako.
 
HUYU JAMAA YAANI HUYU JAMAA

TAREHE 5.4.2018 KAANDIKA KUWA NI MWANDISHI WA HABARI NA ANAISHI DAR NA HAWEZI KUTAJA JINA LAKE KATIKA UZI WAKE "JUKWAA LA WAHARIRI (TEF) MNAFANYA KOSA LILILOFANYWA NA MAASKOFU WA KKKT NA TEC"

JUZI TAREHE 16.4.2018 KATIKA UZI WAKE USEMAO "HONGERENI MH. MAGDALENA SAKAYA MBUNGE WA KALIUA", KASEMA ANAITWA Julius N.J, ANAISHI Dodoma.

NAHISI HUYU NI MIONGONI MWA "Unknown People"

KWELI NJAA KALI NDG. VUMILIA TU UTATEULIWA HATA BALOZI WA "Ten Houses"

UKITAKA KUWA MWONGO, KUWA NA KUMBUKUMBU YA KUTOSHA.
 

THITHEMI KITU HAPA NGASTUKA
 
Sasa kwa kuwakomesha akina mbowe, hao watakaoandamana, msiwafanye chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…