Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Weka uthibitisho tuache propaganda na blaa blaa tu, walikutana walikuwa eneo gani? Na walizungumza nn? Usipotoshe umma bwana.
 
Hizo ni porojo za mafisadi wa 1.5 trillion za watanzania,mwambie sizonje arudishe pesa yetu kaiba kuliko hata awamu ya jk yote.kaiba ecrow mara 5 mwambie arudishe pesa hatuta nyamaza.
Pia kufungia mitandao ya kijamii hakumsaidii kitu tunatumia mingine kma VPN
 
Sasa kama umevuja na umeshasema ni mpango mchafu yanini kujipendekeza, kaa nao mbali...utakuchafua bure!!

Acha tunaoteseka twende mbele 26 Ap
 
Haya tumekuelewa mmarekani feki.. ulidhani utamuokota kama ulivyo okotwa wewe..tuongee fact!
Kwani nyie wenzetu mnaona Tanzania iko shwari!??
Mnajaribu kutuaminisha nini wakati kila siku matukio ya hovyo yanatokea..

By the way hakuna asiependa aman lakn aman kwenye nchi ambayo haifati utawala wa sheria na haki za binadam bas achen watu waandamane tu haijalish tar 26 wala lini.. inapofikia watu wanataka haki zao bas waache waitafute na hili halina uchama wala itikadi..

Tusisahau wengne tunasubili ile 1.5 ilipoenda..

 
Hivi mwandishi anajua kuwa Mbowe na uongozi wote wa CHADEMA una kesi mahakamani na hati zao za kusafiria ziko kifungoni! Huko Marekani alenda lini?
 
eti Mbowe yupo Marekani anakula bata, ...nani alikudanganya kwenda/kuishi marekani ni kula Bata?

njaa zinawaumiza sana Lumumba. na kwa ushenzi sasa tar 26 watanzania wanakata huo mrija wenu

This is our only and golden chance. Nchi lazima idhibitiwe na raia sio raia kudhibitiwa na dola.

Viva.
 


Mbowe arudishe Passport yetu, Uhamiaji!
 
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu, Mbowe haruhusiwi kusafiri kama kaenda USA kwa siri si ndo vizuri mumkamate?
 
Tu kwa nini na mimi nimeisoma naonekana ni zwazwawa kuwango cha vumbi shwainiii?
 
Ni hapiuuu kinondoni mjinga sana wanajijuwa nyea hapa 26 munanyolewa kisawasawa
 
Safari hii hamtaamini na kitakachotokea tar.26. kiongozi wa malaika amebakiza siku 3 za kukaa karibu na bahari..!! Hatufanyi mzaha,tumechoka kuongozwa na vilaza....
 
Mbona mpango huo siuoni? Kwenda USA ni kosa? Kukutana na watanzania walioko USA ni kosa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…