Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Je ni kweli Mbowe yuko Marekani?
Je ni kweli Mbowe kakutana na Mange?
 
Kicheko ni afya unadhani degree ya uganga nilifoji?
Wadanganye watumiaji wa digital siyo watu kama sisi ambao tumetoka kwenye utumiaji hadi level nyingine!!! Hahahahaha..!!
 
Kwa hiyo unataka kutuambia nini kwa mfano wa taifa la china kupitia katika hali Kama tunayopitia Tanzania kwa Sasa ...

Inamaana Baba wa Taifa la China Mao Zedong (Mao tse-Tung) nae mwanzoni tu katika kampeni zake za kuijenga China akasunda 1.5 trln au sio?

Na SIEJii wao wa kichina akasimamishwa na kuulizwa kama hizo 1.5. trln zimeibiwa afu akakataa?

Mxscwszzzz!!! Msitutanie hapa!!!

halafu ulichoandika hakiendani na kichwa cha habari ... Habari yako imeleza madhara vitisho kwa waandamanaji na sio taarifa ya huo mpango ulio vuja ...
 
Hilo ni zuzu Fulani tu linaishi manzesekwa mfuga mbwa. Linadhani marekani ni Kama kariakoo au manzese ambako watu kazi kuchungulina na kukusanya udaku. Pumbafuu kabisa
 
We ni bonge la fala yani, aliyekutuma mwambie kachemka. Mnajaribu kutumia kila njia mtutoe kwenye reli bt mmechelewa. Hivi nikuulize swali, umesema upo marekani Co? Mbowe umemuona sasa mbona umeshindwa hata kutuwekea evidence ya picha? Acha bangi njoo nikunyonyeshe ubo*
 
Ipo siku Mungu atalipa kwa maovu yote yanayotendeka... shubaaamit
 
Passport ya Mbowe iko polisi. Jeshi la polisi likamatwe kwa kufanya uhalifu.


Ha ha ha huyu mtoa mada just ha ha ha!
 
Mmeshachafuka na mnazidi kujichafua kila kukicha. Weka picha hapa. Mtu asiende kujitibia? Huo ndio uchochezi ila kwa kuwa mko kibhande ile hawaoni hata kidogo
 
Chakushangaza post nyingi za mleta mada ziko ki-ccm
 
Unasema amekutana na watanzania waishio marekani ila inaonekana umetengwa wewe peke yako?
Jiangalie ndg ndege anayepigwa kila akiingia kwenye kundi la ndg wengine ni bundi.
Angalia unagamasisha maandamano hujui mkono wa serikali ni mrefu?
Endelea na mpango huo ukishirikiana na mange unaona unatumia akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…