Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Mtanzania aliye Marekani mwenye maono kama haya basi atakuwa alienda huko kwa matibabu ya akili.

Labda useme upo China au North Korea.
 
Umesema ukweli mtupu, hata hivyo maandamano hakuna na serikali imeshachukua hatua kudhibiti Hali yoyote inayoweza kuharibu amani yetu tuliokuwa nayo kwa miaka mingi..

Bora uwe masikini lakini uwe na amani kuliko Kuwa tajiri ukawa hauna amani,..

Na amani ikitoweka kurudi ni kazi sana hakuna atakae Kuwa na imani miongoni mwao ambao sasa wana onekana Kuwa pamoja.

Hebu fikiria Libya ilivyokuwa wakati ule na baada ya machafuko..

Vijana Tuache mteremko, mteremko ndio unaosababisha ujinga, ndio maana humu watu walishauriwa kuanza biashara ya kudownload pesa lakini angalia sasa kila mtu anamlaumu yule alie shauri wakati ule ukitoa neno unatukanwa..

Ndivyo ilivyo sehemu nyingi duniani, sasa wananchi tubadilike hicho kidogo ulicho nacho kitunze, kithamini maana baadae hutaweza pengine kukipata kabisa...

Ya kuambiwa changanya na zako kisha fikiria dhana ya BAFU lilivyo.

SERIKALI IPO IMARA HAITAKUBALI KUYUMBISHWA NA KIBARAKA YEYOTE YULE WA NDANI YA NCHI AU NJE YA NCHI, TUMEJIPANGA KWA ZAIDI YA MIAKA HAMSINI KUENDELEA KULINDA AMANI YETU.
 
Umesema ukweli mtupu, hata hivyo maandamano hakuna na serikali imeshachukua hatua kudhibiti Hali yoyote inayoweza kuharibu amani yetu tuliokuwa nayo kwa miaka mingi..

Bora uwe masikini lakini uwe na amani kuliko Kuwa tajiri ukawa hauna amani,..

Na amani ikitoweka kurudi ni kazi sana hakuna atakae Kuwa na imani miongoni mwao ambao sasa wana onekana Kuwa pamoja.

Hebu fikiria Libya ilivyokuwa wakati ule na baada ya machafuko..

Vijana Tuache mteremko, mteremko ndio unaosababisha ujinga, ndio maana humu watu walishauriwa kuanza biashara ya kudownload pesa lakini angalia sasa kila mtu anamlaumu yule alie shauri wakati ule ukitoa neno unatukanwa..

Ndivyo ilivyo sehemu nyingi duniani, sasa wananchi tubadilike hicho kidogo ulicho nacho kitunze, kithamini maana baadae hutaweza pengine kukipata kabisa...

Ya kuambiwa changanya na zako kisha fikiria dhana ya BAFU lilivyo.

SERIKALI IPO IMARA HAITAKUBALI KUYUMBISHWA NA KIBARAKA YEYOTE YULE WA NDANI YA NCHI AU NJE YA NCHI, TUMEJIPANGA KWA ZAIDI YA MIAKA HAMSINI KUENDELEA KULINDA AMANI YETU.
Hiyo amani ni amani gani mkuu mbona unakuwa mmbea
 
Hiyo amani ni amani gani mkuu mbona unakuwa mmbea
Wacha niwe mbea kwa sababu mimi sitakuwa wa kwanza na nakuombea kabla ya kesho asubuhi akili na mtazamo wako utakuwa umebadilika na kuungana na mimi..

Hivyo vimali vidogo visiwachanganye na kuwapa vitamaa vya ajabu vijana wenzangu, tufanye kazi kwa kuwa Mungu anatuona tunafanya kazi basi atatupa kulingana na kazi tuzifanyazo..
 
Tuchukulie ni kweli huyo Mheshimiwa ametinga huko Majuu.
(Ingawa hukutupa Ushahidi uso-chembe ya shaka tujiridhishe kuwa na Imani nawe juu ya taarifa yako)

Lakini, Je ni dhambi Mtu yeyote kukutana na mwingine Marekani au popote?

Au Lipo katazo kwa Kisheria la Mtanzania au Mwanasiasa yeyote kukutana au kuzungumza na si-Mange tu bali mtu mwingine mwenye Itikadi kinzani na serikali iliyopo madatakani?

Au huu wako ni Ujinga-ujinga tu hivi ambao nahisi kwa muendelezo wa yanayojiri usishangae ikaletwa Hati ya dharula ya marekebisho ya Sheria Mjengoni,
'Marufuku kukutana,kuongea au kuwasiliana na yoyote anaeikosoa 'Sirikali'.

Acha Uoga,
Mwaga Ushahidi uwafunge mdomo wanaojifanya kukuponda/kukukosoa kwa bandiko lako hili (Nikiwemo mimi).


Vinginevyo utaonekana wewe ni hovyo.

Nawasilisha.


*MPANGO MCHAFU WA MANGE KIMAMBI NA FREEMAN MBOWE WAVUJA!!!!!!!!*

• Wakutana Marekani kujadili mipango ya kuivuruga Tanzania
• Watanzania waishio Marekani watahadharisha.

Na Julius Bernard, Maryland USA.

Imethibitika, Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ametua nchini Marekani na kufanya kikao cha siri na Mange Kimambi, Mwanadada anayetumia mitandao ya kijamii kuhamsisha maandamano haramu na kuishambulia Serikali ya Tanzania.

Mbowe ametua Marekani kutoka Tanzania, pasi kutolewa taarifa yoyote kwenye vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii kama ambavyo viongozi wanasiasa wamekuwa wakifanya hasa ndani ya chama chake cha CHADEMA.

Nimemuona Mbowe akiwa na baadhi ya Watanzania wa hapa Marekani wakijadiliana mambo na baadaye akiwa na Mange Kimambi ambaye amekuwa akiunga mkono harakati za kisiasa za CHADEMA zenye mlengo wa kuichafua Serikali, viongozi wa Tanzania hasa Rais John Magufuli na nchi ya Tanzania.

Kwa sasa Mange anahamasisha maandamano haramu anayoyatangaza kuwa yatafanyika tarehe 26 Aprili, 2018 siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Ninachokiona dhahiri ni njama halifu za kuichafua Tanzania, Mbowe anafanya mbinu zote hizi kuhakikisha nchi haikaliki na hili ni jambo ambalo Watanzania lazima walielewe.

Mange Kimambi anahamisisha maandamano tarehe 26 Aprili, zimebaki siku tatu kufikia tarehe hii na tayari Mbowe amekimbia Tanzania na kuja huku Marekani ili Watanzania watakaothubutu kuandamana wakutane na mkono wa dola wakati yeye akiwa salama salimini.

Hii ina maana kuwa Freeman Mbowe na Mange Kimambi wamechora mpango huu wa kutaka watu waandamane kiharamu, wakumbane na vyombo vya dola, waumizwe ama wapoteze maisha kama alivyosema yeye mwenyewe wafe kama 100 au 200 ilihali yeye na mhamasishaji wa maandamano Mange Kimambi wapo Marekani wanakula bata.

Watanzania waliopo Marekani ambao wamemshuhudia Mbowe akiwa hapa pamoja na Mange Kimambi katika mipango yao ya kuhamasisha maandamano wanaonya juu ya upuuzi huu, na wanasema watasema kila wanachokifanya hapa Marekani.

Na hii ndio imekuwa janja ya wanasiasa wengi kuhamasisha maandamano na kukimbilia mafichoni pale wanapoona mkono wa dola hautawaacha. Wengi wamekuwa wakijificha majumbani kwao au kusikojulikana ndani ya nchi, lakini safari hii Mbowe kaona akimbilie nchi nyingine.

Tulioko Marekani na tunaofuatilia hali ya nyumbani Tanzania tunajua hakuna cha maandamano wala mikusanyiko itakayofanyika kwa kuhamasishwa na Mange Kimambi, na itakuwa ajabu sana kama vyombo vya dola vitavumilia hata kwa dakika moja jaribio lolote la kuwaacha watu waandamane ama kukusanyika visivyo halali.

Nimalizie kwa kuwatakia heri Watanzania wenzangu wote huko Tanzania mnapoelekea katika maadhimisho ya siku ya Muungano Aprili 26, tuendeleeni kujenga nchi, tushikamane na serikali na Rais Magufuli ambaye ameonesha dhamira ya kweli ya kuitoa nchi katika mkwamo wa uchumi na kujenga uchumi imara, wa kujitegemea, wenye heshima na endelevu kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Nchi zote zilizoendelea zilipita katika kipindi hicho na watu kama akina Freeman Mbowe na washirika wake wanaotumiwa na wanyonyaji na mabepari walidhibitiwa kwa nguvu zote na bila kuona haya.

Kasomeni wakati Baba wa Taifa la China Mao Zedong (Mao tse-Tung) aliyeishi kati ya mwaka 1893 na mwaka 1976 alipoamua kuchukua hatua ya kuijenga china, alipata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya wanasiasa lakini alikomaa nao na China ikapiga hatua kubwa zilizojenga msingi imara uliopelekea China ya leo.

Kwa heri.
 
*MPANGO MCHAFU WA MANGE KIMAMBI NA FREEMAN MBOWE WAVUJA!!!!!!!!*

• Wakutana Marekani kujadili mipango ya kuivuruga Tanzania
• Watanzania waishio Marekani watahadharisha.

Na Julius Bernard, Maryland USA.

Imethibitika, Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe ametua nchini Marekani na kufanya kikao cha siri na Mange Kimambi, Mwanadada anayetumia mitandao ya kijamii kuhamsisha maandamano haramu na kuishambulia Serikali ya Tanzania.

Mbowe ametua Marekani kutoka Tanzania, pasi kutolewa taarifa yoyote kwenye vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii kama ambavyo viongozi wanasiasa wamekuwa wakifanya hasa ndani ya chama chake cha CHADEMA.

Nimemuona Mbowe akiwa na baadhi ya Watanzania wa hapa Marekani wakijadiliana mambo na baadaye akiwa na Mange Kimambi ambaye amekuwa akiunga mkono harakati za kisiasa za CHADEMA zenye mlengo wa kuichafua Serikali, viongozi wa Tanzania hasa Rais John Magufuli na nchi ya Tanzania.

Kwa sasa Mange anahamasisha maandamano haramu anayoyatangaza kuwa yatafanyika tarehe 26 Aprili, 2018 siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Ninachokiona dhahiri ni njama halifu za kuichafua Tanzania, Mbowe anafanya mbinu zote hizi kuhakikisha nchi haikaliki na hili ni jambo ambalo Watanzania lazima walielewe.

Mange Kimambi anahamisisha maandamano tarehe 26 Aprili, zimebaki siku tatu kufikia tarehe hii na tayari Mbowe amekimbia Tanzania na kuja huku Marekani ili Watanzania watakaothubutu kuandamana wakutane na mkono wa dola wakati yeye akiwa salama salimini.

Hii ina maana kuwa Freeman Mbowe na Mange Kimambi wamechora mpango huu wa kutaka watu waandamane kiharamu, wakumbane na vyombo vya dola, waumizwe ama wapoteze maisha kama alivyosema yeye mwenyewe wafe kama 100 au 200 ilihali yeye na mhamasishaji wa maandamano Mange Kimambi wapo Marekani wanakula bata.

Watanzania waliopo Marekani ambao wamemshuhudia Mbowe akiwa hapa pamoja na Mange Kimambi katika mipango yao ya kuhamasisha maandamano wanaonya juu ya upuuzi huu, na wanasema watasema kila wanachokifanya hapa Marekani.

Na hii ndio imekuwa janja ya wanasiasa wengi kuhamasisha maandamano na kukimbilia mafichoni pale wanapoona mkono wa dola hautawaacha. Wengi wamekuwa wakijificha majumbani kwao au kusikojulikana ndani ya nchi, lakini safari hii Mbowe kaona akimbilie nchi nyingine.

Tulioko Marekani na tunaofuatilia hali ya nyumbani Tanzania tunajua hakuna cha maandamano wala mikusanyiko itakayofanyika kwa kuhamasishwa na Mange Kimambi, na itakuwa ajabu sana kama vyombo vya dola vitavumilia hata kwa dakika moja jaribio lolote la kuwaacha watu waandamane ama kukusanyika visivyo halali.

Nimalizie kwa kuwatakia heri Watanzania wenzangu wote huko Tanzania mnapoelekea katika maadhimisho ya siku ya Muungano Aprili 26, tuendeleeni kujenga nchi, tushikamane na serikali na Rais Magufuli ambaye ameonesha dhamira ya kweli ya kuitoa nchi katika mkwamo wa uchumi na kujenga uchumi imara, wa kujitegemea, wenye heshima na endelevu kwa kizazi cha sasa na kijacho.

Nchi zote zilizoendelea zilipita katika kipindi hicho na watu kama akina Freeman Mbowe na washirika wake wanaotumiwa na wanyonyaji na mabepari walidhibitiwa kwa nguvu zote na bila kuona haya.

Kasomeni wakati Baba wa Taifa la China Mao Zedong (Mao tse-Tung) aliyeishi kati ya mwaka 1893 na mwaka 1976 alipoamua kuchukua hatua ya kuijenga china, alipata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya wanasiasa lakini alikomaa nao na China ikapiga hatua kubwa zilizojenga msingi imara uliopelekea China ya leo.

Kwa heri.
Tunaomba video zao
 
Umesema ukweli mtupu, hata hivyo maandamano hakuna na serikali imeshachukua hatua kudhibiti Hali yoyote inayoweza kuharibu amani yetu tuliokuwa nayo kwa miaka mingi..

Bora uwe masikini lakini uwe na amani kuliko Kuwa tajiri ukawa hauna amani,..

Na amani ikitoweka kurudi ni kazi sana hakuna atakae Kuwa na imani miongoni mwao ambao sasa wana onekana Kuwa pamoja.

Hebu fikiria Libya ilivyokuwa wakati ule na baada ya machafuko..

Vijana Tuache mteremko, mteremko ndio unaosababisha ujinga, ndio maana humu watu walishauriwa kuanza biashara ya kudownload pesa lakini angalia sasa kila mtu anamlaumu yule alie shauri wakati ule ukitoa neno unatukanwa..

Ndivyo ilivyo sehemu nyingi duniani, sasa wananchi tubadilike hicho kidogo ulicho nacho kitunze, kithamini maana baadae hutaweza pengine kukipata kabisa...

Ya kuambiwa changanya na zako kisha fikiria dhana ya BAFU lilivyo.

SERIKALI IPO IMARA HAITAKUBALI KUYUMBISHWA NA KIBARAKA YEYOTE YULE WA NDANI YA NCHI AU NJE YA NCHI, TUMEJIPANGA KWA ZAIDI YA MIAKA HAMSINI KUENDELEA KULINDA AMANI YETU.
Mnamsha taharuki za bureeee wenzako huku wanapiga jeramba
 

Attachments

Sasa tunapita mtaani kuwaonesha jinsi tulivyo jipanga kwa miaka zaidi ya 50
 
Kuna point moja kutoka ulipochukua huo umbea umeiacha hapo you look like fools kijana wangu Egnecious
 
Musiba ,Jerry Murro,Lemutuz na mwenzao Daudi Bashite "zero brain"hawajui hata kudanganya wazushi tu hawa
1.5 TRILION INAMTESA "DADDY" BIGGIE!
 
Wakati mwingine nashindwa kuelewa, mada Kama hii hata baada ya kuthibitika ni ya uongo lakini bado ipo hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom