Polepole hajanunua mtu. Watu walinunuliwa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Na kwa kuthibitisha hilo, baadhi ya walionunuliwa wameteuliwa na Mama Samia kwenye nyadhifa mbalimbali. Acheni utoto 😡Hii ni habari ya kweli Nina toa rah kwa taaasisi za kifedha zote nchibi kama Kuna mpinzani alinunuliwa na Yule kiroboto wakishirikiana na Bashiru na mwendazake muda ujao mambo yatakuwa Bam bam!
Kwa habari za chini ya kapeti zinaonesha yakuwa Mwenyekiti wa ccm Ili aweze kupona lazima awaruidishe akina nape na wenzake haraka kamati kuu ya ccm vinginevyo vikao vijavyo mambo yatakuwa Bam Bam maana walionunuliwa wote watapigwa chini kuanzia ubunge mpk ukuu wa wilaya ukurugenzi wapo watakao poteza mpk uwaziri.pole mwita popote ulipo pamoja na akina sjui lijualikoro na wenzake
Mkuu ninakili kuwa na changamoto hiZo ninakuaidi kabsa kujirekebisha na nimekuelewa vizuri sanaaa Asante kwa kunielewesha mkuu nakuaidi kuimprove.sifi leo Jitahidi ku - edit post zako kabla ya kuposti..
Mtoa mada siku zote ndiye mwenyekiti Wa kuongoza mjadala..
Mada inapokuwa ina makosa ya kisarufi/spelling kwa baadhi ya maneno, inakosa radha, mvuto na mantiki...
Nimeona posts zako kadhaa kuna makosa mengi ya kisarufi kuanzia kwenye heading hadi kwenye ufafanuzi wa maudhui (contents)..
Pls, don't get offended for this. Nia yangu ni njema..
Bado unarudia yaleyale kwani unaandika unafukuzwa ndugu?Mkuu ninakili kuwa na changamoto hiZo ninakuaidi kabsa kujirekebisha na nimekuelewa vizuri sanaaa Asante kwa kunielewesha mkuu nakuaidi kuimprove.
Itatue changamoto hiyo kwa kufanya hivi...Mkuu ninakili kuwa na changamoto hiZo ninakuaidi kabsa kujirekebisha na nimekuelewa vizuri sanaaa Asante kwa kunielewesha mkuu nakuaidi kuimprove.
Hii ni habari ya kweli Nina toa rah kwa taaasisi za kifedha zote nchibi kama Kuna mpinzani alinunuliwa na Yule kiroboto wakishirikiana na Bashiru na mwendazake muda ujao mambo yatakuwa Bam bam!
Kwa habari za chini ya kapeti zinaonesha yakuwa Mwenyekiti wa ccm Ili aweze kupona lazima awaruidishe akina nape na wenzake haraka kamati kuu ya ccm vinginevyo vikao vijavyo mambo yatakuwa Bam Bam maana walionunuliwa wote watapigwa chini kuanzia ubunge mpk ukuu wa wilaya ukurugenzi wapo watakao poteza mpk uwaziri.pole mwita popote ulipo pamoja na akina sjui lijualikoro na wenzake
Usitegemee mtu kama huyo kurekebishika isipokuwa kwa kusaidiwa uhariri na mweledi wa lughaItatue changamoto hiyo kwa kufanya hivi...
Ukimaliza kuandika (typing), kabla ya ku - click kitufe cha "POST", pitia kwanza andiko lako lote neno kwa neno, paragraph kwa paragraph na utaona kila typing error na kusahihisha...
Baada ya hapo, bonyeza kitufe cha " POST" na mambo yanakuwa perfect kabisa na hata kama kutakuwa na makosa ya kiuandishi, basi yatakuwa ni kidogo yasiyo na athari kubwa na yanayoeleweka...
Asante..
Na wewe kipindi Cha kampeni za 2015 wewe ulinunuliwa na Kinana umpigie kampeni Magufuli mitandaoni,ulivyorushwa hela yako na Kinana ndio ukajifanya unaanza kupiga kelele kumponda Magu.Nyie wote Ni 'malaya' wa kisiasa tu maana mnanunulika tu.Polepole hajanunua mtu. Watu walinunuliwa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Na kwa kuthibitisha hilo, baadhi ya walionunuliwa wameteuliwa na Mama Samia kwenye nyadhifa mbalimbali. Acheni utoto 😡
Hakuna Mzee yeyote,mstaafu yeyote mwenye mamlaka ya kumtisha Rais/mwenyekiti wa chama tawala labda tu yeye atake.Hii ni habari ya kweli Nina toa rah kwa taaasisi za kifedha zote nchibi kama Kuna mpinzani alinunuliwa na Yule kiroboto wakishirikiana na Bashiru na mwendazake muda ujao mambo yatakuwa Bam bam!
Kwa habari za chini ya kapeti zinaonesha yakuwa Mwenyekiti wa CCM Ili aweze kupona lazima awaruidishe akina nape na wenzake haraka kamati kuu ya ccm vinginevyo vikao vijavyo mambo yatakuwa Bam Bam maana walionunuliwa wote watapigwa chini kuanzia ubunge mpk ukuu wa wilaya ukurugenzi wapo watakao poteza mpk uwaziri.
Pole mwita popote ulipo pamoja na akina sijui Lijualikalu na wenzake
kweli nyani haoni kundule.sifi leo Jitahidi ku - edit post zako kabla ya kuposti..
Mtoa mada siku zote ndiye mwenyekiti Wa kuongoza mjadala..
Mada inapokuwa ina makosa ya kisarufi/spelling kwa baadhi ya maneno, inakosa radha, mvuto na mantiki...
Nimeona posts zako kadhaa kuna makosa mengi ya kisarufi kuanzia kwenye heading hadi kwenye ufafanuzi wa maudhui (contents)..
Pls, don't get offended for this. Nia yangu ni njema..
Very serious offence!!Mr Chahali you must clear this!!!Na wewe kipindi Cha kampeni za 2015 wewe ulinunuliwa na Kinana umpigie kampeni Magufuli mitandaoni,ulivyorushwa hela yako na Kinana ndio ukajifanya unaanza kupiga kelele kumponda Magu.Nyie wote Ni 'malaya' wa kisiasa tu maana mnanunulika tu.
Bado makosa yale yale: ninakili badala ninakiri; ninakuaidi badala ya ninakuahidi. Jitahidi mkuu muda bado unao.Mkuu ninakili kuwa na changamoto hiZo ninakuaidi kabsa kujirekebisha na nimekuelewa vizuri sanaaa Asante kwa kunielewesha mkuu nakuaidi kuimprove.