wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Muulize Kama atabisha,aliandika mwenyewe suala Hilo la yeye kupewa mpunga na Kinana na alivyorushwa kulipwa pesa hio.Mwambie aje hapa akanushe.Very serious offence!!Mr Chahali you must clear this!!!
Magu alikuwa mhuni wa level nyingine kabisa. Akina Nape wala siyo wahuni. Nape kipindi cha uenezi wake Demokrasia ilishamiri. Alikuwa na uwezo mkubwa sana kupambana propaganda za jukwaani bao la mkono, mara Lowassa mwizi n.kWanamsingizia pole pole wakati jiwe kila akitaka Jambo hata Samia hakukataa, Sasa Kama Majaliwa tu alipigwa mkwara ndo ije utumwe ukanunue mtu ugome, ndugai alimfata msigwa ametumwa na Magu kumnunua mbona jobu hakukataa, hata aliowapa ubunge kina mdee ni Magu
bosi upo kumbe?Polepole hajanunua mtu. Watu walinunuliwa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Na kwa kuthibitisha hilo, baadhi ya walionunuliwa wameteuliwa na Mama Samia kwenye nyadhifa mbalimbali. Acheni utoto 😡
Simu anayotumia anashindwa kuimudu kwenye kuandikaBado unarudia yaleyale kwani unaandika unafukuzwa ndugu?
Na wewe kipindi Cha kampeni za 2015 wewe ulinunuliwa na Kinana umpigie kampeni Magufuli mitandaoni,ulivyorushwa hela yako na Kinana ndio ukajifanya unaanza kupiga kelele kumponda Magu.Nyie wote Ni 'malaya' wa kisiasa tu maana mnanunulika tu.
BoraMkuu ninakili kuwa na changamoto hiZo ninakuaidi kabsa kujirekebisha na nimekuelewa vizuri sanaaa Asante kwa kunielewesha mkuu nakuaidi kuimprove.
Muulize mwenyewe Chahali hapa,maana alisema mwenyewe Jambo hilo.Kinana sio mtu wa kumrusha hela ..
Otherwise hii ni hearsay sio fact
Mfundishe Kwanza kiswahili sanifu, hilo la typing error litaisha tu.hizi shule ndo za kulaumiwa.Itatue changamoto hiyo kwa kufanya hivi...
Ukimaliza kuandika (typing), kabla ya ku - click kitufe cha "POST", pitia kwanza andiko lako lote neno kwa neno, paragraph kwa paragraph na utaona kila typing error na kusahihisha...
Baada ya hapo, bonyeza kitufe cha " POST" na mambo yanakuwa perfect kabisa na hata kama kutakuwa na makosa ya kiuandishi, basi yatakuwa ni kidogo yasiyo na athari kubwa na yanayoeleweka...
Asante..
Acha uongo hao watu hawakununuliwa ingawa waliahidiwa nafasi mbalimbali ndani ya serikali iwapo watarejea Ccm maana wote walikuwa wana CCM huko nyuma na wapo waliokubali na wengine wakachomoaPolepole hajanunua mtu. Watu walinunuliwa na Magufuli kwa niaba ya CCM. Na kwa kuthibitisha hilo, baadhi ya walionunuliwa wameteuliwa na Mama Samia kwenye nyadhifa mbalimbali. Acheni utoto [emoji35]