Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Waongee pia na Mazembe amfunge MC Alger.Za ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Sare haiwezi mpeleka Yanga popote ,MC Algiers atatoa sare Bongo na atamtandika TP Mazembe ambae hana Cha kupambaniaZa ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Kule kule kwa wenye akili wawili.....Uto safari imeisha.Hivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
walikoso[/QUOTE]walikosomea mkuuHivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
Za ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Wewe labda utakuwa ni mchepuko wa Ibenge, yaani unajua mambo ya ndaniiiiiiiiiiii kabisa ya Ibenge mpaka simu anazopigiwa.Za ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Dunduka komaeni na mipango ya shirikisho kuliko kupoteza muda kujadili kombe la wanaume.Za ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not