Baba mtumishi
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 306
- 266
Wewe umesahau jina la mbumbumbu walilopewa na Lage?Hivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umesahau jina la mbumbumbu walilopewa na Lage?Hivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
Hivi ndio kusema hamuoni wachezaji wa kusajili pale Al Hilal. Hawa jamaa wanatoa wapi hela za kuendeshea timu ugenini huko Mauritania?Za ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Al Hilal sasahivi inamilikiwa na Mwarabu yupo Sudan hapo ana visima vya mafuta,... wana hela wale jamaa acha tu yule mchezaji wao Abdelrahmann analetewaga ofa mpaka ya Billion 1 Transfer fee ila wanazipiga chini.Hivi ndio kusema hamuoni wachezaji wa kusajili pale Al Hilal. Hawa jamaa wanatoa wapi hela za kuendeshea timu ugenini huko Mauritania?
wanafundishwa pale Msimbazi ghorofaniHivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
Wanazaliwa nao, wa kurithi huo.Hivi ujinga huwa mnafundiswa wapi?
ujinga tuZa ndaaaaaaaaaaaaaaaani, Ibenge amepigiwa simu akiombwa sare ili fainali iwe kwa Mkapa.
Daaah nimesikitika sana, Ibenge kawajibu atawapa majibu ndani ya siku 2 lkn wajiandae kumwaga mzigo vinginevyo ngumi jiwe tu.
Mechi ni sare, believe me or not
Ushindi wa kununua wachezaji kisha baadae unawasajili hauna maana hata kidogo ndio maana mechi 4 pointi 4 hadi sasa ambako ndiko kuna uhalisia.Ushabiki wa namna hii ni ushabiki wa kizamani na kishamba.
Timu ilyokufunga mara nne mfululizo unayejitapa upo kwenye 10 bora ya Rank za CAF kuna maajabu gani hadi kuhoji ushindi wake dhidi ya Timu ambayo wewe umeizidi ubora?