Mpango wa kuwasajili wanachama ni kitisho kule zanzibar

Mpango wa kuwasajili wanachama ni kitisho kule zanzibar

Ngekewa

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2008
Posts
7,705
Reaction score
1,288
Mpango wa usajili wa wanachama wa CCM juu ya kuwa ni mpango wa kisasa lakini kwa upande wa Zanzibar mpango huu utakuwa ni tishio kwa wafanyakazi na wafanyabiashara. Litakuwa tishio kwa vile sasa itakuwa rahisi zaidi kuangaliwa kwenye mtandao ili kujuwa nani' mwenzetu'
Vitisho ni jambo la kawaida kule Visiwani na mtu ni rahisi kukosa haki yake kwa kuambiwa kuwa si mwenzetu. Huko nyuma wafanyakazi wakifuatiliwa kura zao kwenye uchaguzi na sasa hili litakuwa ni rahiosi zaidi.
 
Back
Top Bottom