Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Yule mzee tahira hakuwa na nia ya kubana matumizi, sema tu alikuwa na roho mbaya.
Kipindi cha Magufuli watu waliokuwa karibu yake akina Makonda, Musiba n.k waliogelea kwenye mabilioni na hakuna aliyeweza kuwahoji.
Moja ya jambo lililomeza pesa za nchi hii ni tumbua tumbua za Magufuli ingawa wajinga hawalijui hilo.
Kazini kwetu DBSS alisimamishwa kazi alikuwa nyumbani na nafasi yake kukaimu mtu mwingine lakini wote wawili ofisi ilikuwa ikiwalipa stahiki zao sawia .
Mitano ni mingi ila nyie yule mzee aliwaroga hamuwezi kuamka tena
Kipindi cha Magufuli watu waliokuwa karibu yake akina Makonda, Musiba n.k waliogelea kwenye mabilioni na hakuna aliyeweza kuwahoji.
Moja ya jambo lililomeza pesa za nchi hii ni tumbua tumbua za Magufuli ingawa wajinga hawalijui hilo.
Kazini kwetu DBSS alisimamishwa kazi alikuwa nyumbani na nafasi yake kukaimu mtu mwingine lakini wote wawili ofisi ilikuwa ikiwalipa stahiki zao sawia .
Mitano ni mingi ila nyie yule mzee aliwaroga hamuwezi kuamka tena