Mpango wao Utopolo sio huo tu wameshajipanga kutuangamiza kombe la Shirikisho ili tufanane, msiseme sikuwaambia

Mpango wao Utopolo sio huo tu wameshajipanga kutuangamiza kombe la Shirikisho ili tufanane, msiseme sikuwaambia

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.

Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.

Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
 
Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.

Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.

Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
Uko sahihi. Mimi pia najua baadhi ya mipango ambayo imeanza kufanyika ili kuizuia Simba kwenye mashindano ya CAF na kuna siku nitaiweka wazi.
 
Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.

Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.

Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
We jamaa snitch sana😃 Ili ngoja tuone, muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Nasikia Chasambi ndiye GSM [emoji1787]
Screenshot_20250206-182536_1.jpg
 
Uko sahihi. Mimi pia najua baadhi ya mipango ambayo imeanza kufanyika ili kuizuia Simba kwenye mashindano ya CAF na kuna siku nitaiweka wazi.
Acha mikwara ya kichaa cha dog wewe anika acha kutishia nyau mkishapigwa kwenye masikio hua mnapagawa sana..
 
Unajua najua mangapi ila sikimbilii kuyaleta humu jukwaani?
Wewe lete acheni kutapatapa mbona Yanga alipofungwa na Tabora mliongea mengi tu ulisikia wana Yanga wanasema habari za hujuma au?wewe leta hapa ndio tujue ukweli..
Nyie huwa mkipigwa kidogo tu kelele mpaka mtaa wa saba mjifunze kuvumilia shirikisho ni kombe rahisi sana ukweli huu msiupinge tena katika hatua za awali na hata makundi..
 
Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.

Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.

Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
hahahahahahah MAKOLO ULIBWANJI!!so jana YANGA anahusika??
 
Yote kayataka kipenzi cha Max Zengeli, Chasambi.

Kulikuwa na utulivu mzuri tu mpaka Chasambi alipobadili upepo.


Hapa bado hatujasikia ya GSM anaharibu ligi.
 
Wewe lete acheni kutapatapa mbona Yanga alipofungwa na Tabora mliongea mengi tu ulisikia wana Yanga wanasema habari za hujuma au?wewe leta hapa ndio tujue ukweli..
Nyie huwa mkipigwa kidogo tu kelele mpaka mtaa wa saba mjifunze kuvumilia shirikisho ni kombe rahisi sana ukweli huu msiupinge tena katika hatua za awali na hata makundi..
Mbona pofu linakutoka. Nikupe ushahidi hapa ili iweje? Embu jitambue dogo.

Mlifungwa game mbili mkamtimua Gamondi kwa tuhumu za hujuma. Na Simba jana haijapigwa imetoka sare na sisi ambao tunapenda mpira wa ushindani tumefurahia game. Vile ndiyo inatakiwa ligi kuwa.

Shirikisho kombe rahisi ila tuambie timu yako ina miaka 60, hata robo fainali umefika mara ngapi?
 
Mbona pofu linakutoka. Nikupe ushahidi hapa ili iweje? Embu jitambue dogo.

Mlifungwa game mbili mkamtimua Gamondi kwa tuhumu za hujuma. Na Simba jana haijapigwa imetoka sare na sisi ambao tunapenda mpira wa ushindani tumefurahia game. Vile ndiyo inatakiwa ligi kuwa.

Shirikisho kombe rahisi ila tuambie timu yako ina miaka 60, hata robo fainali umefika mara ngapi?
Wewe kweli ni mkia umefurahia game wakati nyuzi zinaibuka za lawama kila sekunde acha kujipa tumaini hewa..
Wewe sema kwenye hilo kombe la shirikisho una kipi cha kujivunia kwa miaka hii ya karibuni ambacho unachojivunia labda kuchoma uwanja moto na bado robo ikawa mziki kutoboa..
 
Back
Top Bottom