Kwani nyuzi za lawama kuibuka mimi inanihusu nini? Kwani wewe una nini cha kujivunia kwenye mashindano ya CAF miaka ya hivi karibuni? Mbona unarukaruka kama maharage ya Mbeya?Wewe kweli ni mkia umefurahia game wakati nyuzi zinaibuka za lawama kila sekunde acha kujipa tumaini hewa..
Wewe sema kwenye hilo kombe la shirikisho una kipi cha kujivunia kwa miaka hii ya karibuni ambacho unachojivunia labda kuchoma uwanja moto na bado robo ikawa mziki kutoboa..
Strong teaKikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.
Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.
Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
Yanga ilimtimua Gamondi kwa sababu nyingi tofauti kabisa unazodai, kuzitaja nitakuwa namtajia mwehu sawa na bure, kwenda robo si kipimo tosha kuthibitisha ubora wa timu,ubora wa team unapimwa kwa timu kuchukua kombe la league huska. Kolowizards mnazingua.Mbona pofu linakutoka. Nikupe ushahidi hapa ili iweje? Embu jitambue dogo.
Mlifungwa game mbili mkamtimua Gamondi kwa tuhumu za hujuma. Na Simba jana haijapigwa imetoka sare na sisi ambao tunapenda mpira wa ushindani tumefurahia game. Vile ndiyo inatakiwa ligi kuwa.
Shirikisho kombe rahisi ila tuambie timu yako ina miaka 60, hata robo fainali umefika mara ngapi?
Hizo kauli za hujuma mlikuwa mnazitoa nyie wenyewe.Yanga ilimtimua Gamondi kwa sababu nyingi tofauti kabisa unazodai, kuzitaja nitakuwa namtajia mwehu sawa na bure, kwenda robo si kipimo tosha kuthibitisha ubora wa timu,ubora wa team unapimwa kwa timu kuchukua kombe la league huska. Kolowizards mnazingua.
kipimo cha mafanikio kwa timu ktk mashindano husika ni nini?Hizo kauli za hujuma mlikuwa mnazitoa nyie wenyewe.
Kwa hiyo timu ambazo hazijawahi kuchukua ubingwa wa kombe husika kwa mtazamo wako zote inabidi ziitwe mbovu siyo?
Hizo kauli za hujuma mlikuwa mnazitoa nyie wenyewe.
Kwa hiyo timu ambazo hazijawahi kuchukua ubingwa wa kombe husika kwa mtazamo wako zote inabidi ziitwe mbovu siyo?
Wewe umesema ubora pekee wa timu ni kuchukua kombe, kinyume cha hapo hiyo timu ni mbovu. Nataka kuthibitisha kuwa umemaanisha hivyo, siyo tena unaanza kuniuliza swali hilo hilo. Sipo hapa kubishana na wewe siku nzima.kipimo cha mafanikio kwa timu ktk mashindano husika ni nini?
Hawa nyuma mwiko wataacha kutuvuta nyuma siku wakiwa juu kwenye ranking za CAF .Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.
Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.
Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.
Timu bovu ni lile ambalo hata makundi limeshindwa kuvuka.Hamna timu pale. Acheni visingizio na kujihami.
Ukweli ambao makolo hawataki kuukubaliSAJILI WACHEZAJI WA MAANA TOP PLAYER.
HATA KAMA HUWEZI SAJILI WACHEZAJI WA DARAJA LA KWANZA AFRICA (MAYELE, INONGA,
SAJILIBDARAJA LA PILI AKINA PAKOME,AZIZI, AUCHO,
SI KULETA WACHEZAJI DARAJA LA TATU NA NNE AKINA KARABOU CHAMOE, OKEJEPHA, MUKWALA, MUTALE NK
AZAM VS SIMBILISI 😂 😂Wewe lete acheni kutapatapa mbona Yanga alipofungwa na Tabora mliongea mengi tu ulisikia wana Yanga wanasema habari za hujuma au?wewe leta hapa ndio tujue ukweli..
Nyie huwa mkipigwa kidogo tu kelele mpaka mtaa wa saba mjifunze kuvumilia shirikisho ni kombe rahisi sana ukweli huu msiupinge tena katika hatua za awali na hata makundi..
Simba ni kama watoto wa mwisho. Siku zote wanalalamika kuonewa.Kikosi kazi cha Utopolo bado kinaendelea kuhakikisha kuwa umoja unapungua ama kufa kabisa ili tuanze kucharurana na hatimaye mwezi Machi washushe maangamizi mengine kwetu, sasa hivi kikosi chao kinasubiri kujua nani amepangiwa kucheza na simba hatua ya robo ili wamalize shughuli kwa kushirikiana na wajinga wajinga waliopo ndani ya timu yetu ambao wakishapewa laki 5 tu na msomali wanauza mipango yote.
Kikosi kazi kimekubaliana na fungu washapewa kuwa Simba asifike fainali kombe la Loser, wafanye wafanyalo lazima hapa Taifa tusage meno, wameambiana kuwa athari kubwa endapo mnyama atafika fainali na endapo atabeba ubingwa itakuwa kubwa sana kwa utopoli kwani mnyama atapanda vibaya sana kwenye rank za FIFA.
Bora tuuane tuanze moja wote mwakani, mimi kazi ya kuwalisha tu mipango yao kama mnaona haina maana iacheni tuendelee kusaga meno.Siku si nyingi tutaanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe.