Mpanzu ni usajili wa kisiasa kuna uwezekano asicheze kabisa Simba

Mpanzu ni usajili wa kisiasa kuna uwezekano asicheze kabisa Simba

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Kwahiyo tukusaidiaje
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Asante kwa taarifa
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Ushanunua jogoo la krismas?
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Kolozidad watabisha [emoji1787]
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Naona Mpira unaingiliwa na mashoga
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Umeanza lini kushabikia mpira?
Mbona wajidharirisha hivi!
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Haraka ya nini bi mdogo? Kwanini usivute subira ili uje uandike kile kinachoendana na ulichokiona?
 
Elie Mpanzu aka Joshua Mutale toka kongo.

Huu ni usajili wa kisiasa na inawezekana asichezee kabisa Simba msimu huu.

Simba ni mabingwa wa kufanya sajili za kisiasa kutuliza joto la mashabiki.

Lakini pia Mpanzu hana quality ambayo wengi wanaamini anayo ni winga wa kizamani wa kucheza kwenye kibendera sio winga wa kuwafata mabeki na kupenya katikati yao bila kuogopa hana huo uwezo. Ni kama Mutale na Chasambi.
Uchawiiii huuuuu
 
Back
Top Bottom