benjamathayo
Member
- May 22, 2018
- 76
- 80
Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii mbegu ni F1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.