Mpapai unaangusha matunda wa kuchanua

Mpapai unaangusha matunda wa kuchanua

benjamathayo

Member
Joined
May 22, 2018
Posts
76
Reaction score
80
Naombei mwenye kujua tatizo hili la mpapai kuangusha matunda wakati wakuchanua aniambie nidawa gani nitumie ili mpapai uendelee na kutoa matunda maana saivi kila uwa likichanua tu linaanguka hii mbegu ni F1
1561366743248.jpeg
1561366816296.jpeg
 
Piga picha fully Hadi aridhini ,Ila kikubwa weka maji ya kutosha na mbolea ya samadi na pia weka NPK 5grm kwa kila mche kwa kila mwezi alafu Leta mrejesho
 
Back
Top Bottom