Pre GE2025 Mpasuko wa CHADEMA tatizo ni Asali, Ukabila na Uenyekiti Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Source:Wamachinga News, za moto moto!!!
 
Mbowe akigombea 2025 na uchaga wake watapta 0.5% wasisubutu afadhali hata ys Lissu wajaribishe. Tanzania ina allergy na uchaga kumbukeni ya kauli ya Ridhiwan 2015
 
Wakuu sana Waungwana JF, Amani ya Bwana ikae Nanyi

Sina nia ya Kuwa Mdini, ila kuna Fact moja lazima isemwe.

Kuna Ndugu zetu ambao kila Uchwao wamekuwa wakipiga Propaganda Mfu ya Kukihusisha CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) Kuwa ni chama cha Ki Kabila (Chaga) na Chama cha Kidini (Ki Kristo)

Nimewa Observe kwa Karibu sana hawa ndugu zangu, hasa wanaobeba Propaganda Mfu kuwa CHADEMA ni Cha Ki Kristo tangia tukio la Kuuawa Kinyama na watu wenye roho za Ibilisi Mzee Ally Mohamed Kibao

Watu hawa waliokuwa wanabeba Propaganda kuwa CHADEMA ni chama cha Kikristo kwa sasa wako Njia Panda.

Wanashindwa kulaani tukio la Mauaji ya Kinyama ya Ally Kibao na pia wanashindwa kukejeli kuwa CHADEMA Wanatekana na Kuuana wenyewe kwa wenyewe.

RIP Mzee Ally Kibao
Waliokuua (Kuanzia waliopanga, waliofadhili na watekelezaji)Mungu atakulipizia, kuanzia wao Mpaka Uzao was wao Saba
 
Hatuwezi kuongozwa na CHADEMA ..Ally kibao kauliwa wala hamna uhusiano maana ni sehemu ya CHADEMA.
 
Kwa hiyo hawa wanaoitafuna nchi kama fisi anakula mifupa na kuendelea kurithishana na kupeana posts sio wa kifamilia.


Kakojoe then ukalale wananchi wanahitaji mabadiliko.
 
Kwahiyo Kikwete, Salma na Ridhiwani, ndugu zako? Mwinyi, Husen, Saa 100 nao je? Karume family je? Nauye family je?. Jiongeze kwenye koo hizo. Hicho chama unachoshabikia ndo saccos yao. Wengine mnasindikiza
 
Mods hamna maana hata kidogo uzi huu kuunga na huu uzi mfu unafananaje mauzui yake upuuzi ndio mwingi mnachosha siku hizi bora mngeufuta tu kuliko kuunga mnajifanyia tu ili mtu achoke uhanithi mumfungie!
 
Unaandika issues Nyingi upuuuzi tuu
 
Mods hamna maana hata kidogo uzi huu kuunga na huu uzi mfu unafananaje mauzui yake upuuzi ndio mwingi mnachosha siku hizi bora mngeufuta tu kuliko kuunga mnajifanyia tu ili mtu achoke uhanithi mumfungie!
Tuliza mshono hujapona sawasawa
 
Tukisema Kuna watu wapumbavu hii nchi mnakua wakali.Chadema Iko mbeya,Tanga,kigoma,kagera ,mtwara nk nk nk nk kote huko ni wachaga???Ficheni ujinga basi
 
Mimi sio mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, na wala sio social scientist bali nipo kwenye natural sciences. Kwa mujibu wa research nazofanya mojawapo ni qualitative ambayo haihitaji empirical data, tunapata conclusions kwa human perceptions, feelings, thoughts, says, mitazamo, mazungumzo, reactions, nk nk.

Kwa ujumla utafiti wangu usio rasmi qualitatively, naona Chadema ni lidude moja kubwa mno na linalotisha sana kwa kutazama namna reactions, na qualitative data zilizopo humu JF, radioni, social media zingine, TV, blogs, Polisi, jeshini, mitaani, magengeni, chats, groups za chawas etc. hamna siku chadema haijatajwa mara 10 hadi 20! Kuanzia mama yao/yetu akilala, akiamka, akiongea, akiwaza, chadema inazunguka kichwani kwake, makondeko kule kwa landrover kila akiamka, makalai kwenye mizunguko yake ya perdiem, joni nchambi, tulizo kule dom, mcheza kiduku wa daslam, hapi, mkumbwa, cc yote ya ccm, machawa wazoefu na wapya kote mitandaoni, mwashamba, talalalah, choicevariable, yohana mbatizaji, na wengine lukuki. Polisi ndio wakisikia kuanzia kaka yao mkubwa anayevaa official dress na buti hata kwenye sherehe ikulu kama yupo vitani ndio wanapagawa kabisa na kuitana nchi nzima, na kuwasha mazimamoto yao ya kipigaji. Hili dude linawatisha sana kisaikolijia.

My conclusion kwa haya naona chadema sasa niifananishe na maji kwa kweli, yani ni lazima uyatumie tu ili uishi, kuna watu kwa kuitajataja tu wamepata uwaziri, ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa, ubunge, uchawa rasmi, ukatibu-kata na uenezi wa ccm, wengine wakapigwa na pesa, wengine ubalozi, wengine ucovid-19 sasa hii si sawa na maji tu wandugu??

Yani utake usitake utayanywa, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utafulia, usipoyafulia utapikia, usipopikia utaoshea hata tongotongo. Ili tumbo lako lisitirike kwa sasa we andika, taja, waza, ongea kuhusu chadema, ukiongelea mwengine unafutika tu kama upepo. Relavance yako itakuja kwa kusema chademaaaaa, chademaaaa hata kama huna logic km mwashamba.

Yani kuna watu wasipotaja chadema wanapotea so ili wawe relevant lazima kila siku waje na uzi kuhusu chadema tu, gosh!! Wengine hata spelling hawajui lkn chadema ipo midomoni mwao kutwa kucha.

No offence hii ni perception ya jamii ya watanzania kuanzia mama yetu shuka chini hadi kwa machawa wa level za chini kbs kama hapa nilipo cholesamvula.
 
Hypocrisy at it's finest, kwa unafiki tu saluti nyingi kwako.
Hearsay, thana na kujaribu kujifanya kama unafanya uchambuzi huku uki-push your own stupid agenda kana kwamba wote watakaosoma bandiko lako ni mbumbumbu wasio na uwezo wa kubaini unafiki wako.
Pathetic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…