Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Nimeona tukumbushane hili
najua n tatizo la kila ukoo hivi karibuni pale mtu anapopata shida tunashindwa kusaidiana
anapokufa ama kuteseka ndio tunaanza kukimbizana
Leo nilikuwa kwenye msiba mmoja tegeta rip dada..huyu dada aliumwa kwa mda lakini ndugu hawakuwa wanamsaidia waka kumjali hata kidogo
hata palle ilipoanzishwa grp la wana ndugu jama namarafiki mwitikio ulikuwa mdogo sana sana
Leo hii Judy amelala zimepaki gari nzuri za kila aina ndugu wanapishana kuandika
200000
400000
300000
mmoja ambae n ndugu yao kabisa na ana hela mbaya na biashara kadhaa alichanga 50000 kwenye whatsup
Leo katangaza atanunua jeneza atalioia special hire mbili kwenda moshi na kurudi..na kaburi atajenga yeye
nawaza wakati anaumwa hizo hela wangemsaidia si zingemwongezea hata siku kadhaa..
NARUDIA TENA TUPENDANE TUKIWA HAI MUNGU NDIE ANAJUA UHAI WETU
BWANA YESU ASIFIWE
AASSALHAMALLEIKHUM
najua n tatizo la kila ukoo hivi karibuni pale mtu anapopata shida tunashindwa kusaidiana
anapokufa ama kuteseka ndio tunaanza kukimbizana
Leo nilikuwa kwenye msiba mmoja tegeta rip dada..huyu dada aliumwa kwa mda lakini ndugu hawakuwa wanamsaidia waka kumjali hata kidogo
hata palle ilipoanzishwa grp la wana ndugu jama namarafiki mwitikio ulikuwa mdogo sana sana
Leo hii Judy amelala zimepaki gari nzuri za kila aina ndugu wanapishana kuandika
200000
400000
300000
mmoja ambae n ndugu yao kabisa na ana hela mbaya na biashara kadhaa alichanga 50000 kwenye whatsup
Leo katangaza atanunua jeneza atalioia special hire mbili kwenda moshi na kurudi..na kaburi atajenga yeye
nawaza wakati anaumwa hizo hela wangemsaidia si zingemwongezea hata siku kadhaa..
NARUDIA TENA TUPENDANE TUKIWA HAI MUNGU NDIE ANAJUA UHAI WETU
BWANA YESU ASIFIWE
AASSALHAMALLEIKHUM