N nyamate Member Joined Aug 3, 2010 Posts 25 Reaction score 0 Oct 8, 2010 #1 Leo kulikuwa na mdahalo wa wagombea wa ubunge jimbo la segerea,wagombea waliobahatika kuhudhuria ni wa TLP,CUF na CHADEMA. Waliousikiliza kupitia wapo radio ni mashahidi zangu MPENDAZOE yuko makini.Nikipata picha nitawawekea mkanda mzima.
Leo kulikuwa na mdahalo wa wagombea wa ubunge jimbo la segerea,wagombea waliobahatika kuhudhuria ni wa TLP,CUF na CHADEMA. Waliousikiliza kupitia wapo radio ni mashahidi zangu MPENDAZOE yuko makini.Nikipata picha nitawawekea mkanda mzima.
K King kingo JF-Expert Member Joined Sep 6, 2010 Posts 401 Reaction score 26 Oct 8, 2010 #2 Mumpe na kura zenu kama na wewe ni wa segerea..
N nyamate Member Joined Aug 3, 2010 Posts 25 Reaction score 0 Oct 8, 2010 Thread starter #3 King kingo said: Mumpe na kura zenu kama na wewe ni wa segerea.. Click to expand... Ataipata mpaka ya housemaid wangu.
King kingo said: Mumpe na kura zenu kama na wewe ni wa segerea.. Click to expand... Ataipata mpaka ya housemaid wangu.
Rutashubanyuma JF-Expert Member Joined Sep 24, 2010 Posts 219,468 Reaction score 911,184 Oct 8, 2010 #4 Ukweli ni kuwa ukiondoa kuchakachua matokeo Dar yote ni Chadema CCM na CUF wataambulia madiwani tu
Nyunyu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2009 Posts 4,354 Reaction score 1,010 Oct 8, 2010 #5 Rutashubanyuma said: Ukweli ni kuwa ukiondoa kuchakachua matokeo Dar yote ni Chadema CCM na CUF wataambulia madiwani tu Click to expand... Kwa kugangamala mazee!! Bila hivyo, wakina Shimbo na wenzake watavunja watu nyonga kuahahkikisha mkulu anarudi Magogoni.:llama:
Rutashubanyuma said: Ukweli ni kuwa ukiondoa kuchakachua matokeo Dar yote ni Chadema CCM na CUF wataambulia madiwani tu Click to expand... Kwa kugangamala mazee!! Bila hivyo, wakina Shimbo na wenzake watavunja watu nyonga kuahahkikisha mkulu anarudi Magogoni.:llama: