Mpeni hongera mjomba wenu, si haba

Woooooooooowwwwww!!!!!!!

Shangaziiii naomba nije kukusaidia kuizindua. Mpe hongera sana mjombaaa kwa kukujali na kukupenda kweli.

[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Reactions: amu
Huu uzi utazua tafrani kwenye baadhi ya nyumba/mahusiano ya watu. Kuna njemba zitahojiwa uanaume wao. Utasikia na wewe nae mwanaume, unaona wenzio wananunulia wapenzi wao magari.

Kipindi hicho huyo msimangaji hajawahi mnunulia mpenzi wake hata vest ya mtumba na baba yake mzazi hajawahi miliki hata guta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…