Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo mdogo ingia nayo asubuhi mapema kabla ya foleni, safari moja ya kwenda na kurudi tayari unakuwa umeijua hasa pale kwenye kukanyaga mafuta na breki.....wiki ya kwanza kuwa mvumilivu kwenye ku-overtake......pia unaweza kuweka alama ya 'Learner' siku mbili, tatu hivi...Ni
Kweli mkuu.
Ni kati ya hayo.
Inanipa wenge mno.
Wanawasusia mbususuHongera sana dear.
Hivi huwa mnawafanyaje wapenzi wenu hadi mnanunuliwa magari?[emoji848]
Wanatufinyia kwa ndaniHongera sana dear.
Hivi huwa mnawafanyaje wapenzi wenu hadi mnanunuliwa magari?[emoji848]
Hivi nani aliyekuambia wanaotoa magari wanasifa hizo ulizosema?Mtoa mada ashanielewa😅
Aniweke tu kwenye Bucket list siku akitamani kupata tabu sana anistue tu.
Anajua namuelewa🏃
Kumbe nini kinahitajika pachaVijana wa kike na kiume mkikua mtajua kumpa/kupewa gari na mwenza haihitaji awe/uwe mzuri kama malaika au awe bingwa wa sarakasi kitandani.
Ooh kumbe
Wacha hizo wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783] Mjomba si ndio amekuagiza range rover velar edition, piruuuu..
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ahsante sana odo.
Na kwako pia iwe hivyo.