au basi🤣Hii id naifananisha au basi
Anapewa mpaka papa na mpalange kachumbariHapo mjomba anapewa kwa tani yake, namuonea wivu mjomba
Hongera antiYani hapa nimejifungia room.
Nacheza music.
Si kwa furaha hii.
Hatariiii
Yesss
Siku ukihitaji spare parts ninazo used na mpya. Karibu in advance🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Hapana.
Ni alphard bana.
Sasa huyu mnyaki nani? Kabadili id sio mgeni huyu...sio K kweli?Yesss
Huyo dalali naomba connection naeShow room nyingi ni 22.
Pale JanJapan tulikuta 19.5.
Tukashuka nao mpaka 16.tulikuwa na dalali wa hapo Jan.
Akanitonya mtu akiuliza niseme tumechukua kwa 20.
Hongera sana lakini, umepambana sio jambo jepesi kununuliwa chomboShow room nyingi ni 22.
Pale JanJapan tulikuta 19.5.
Tukashuka nao mpaka 16.tulikuwa na dalali wa hapo Jan.
Akanitonya mtu akiuliza niseme tumechukua kwa 20.
Hongera mjomba....na mm mpwa nataka gari
Sasa nawewe dalali nimekwambia sema 20 ushasema 16😁Show room nyingi ni 22.
Pale JanJapan tulikuta 19.5.
Tukashuka nao mpaka 16.tulikuwa na dalali wa hapo Jan.
Akanitonya mtu akiuliza niseme tumechukua kwa 20.
Naomba lift mwanamkeBrother uko sahihi.
Mimi niliambiwa nimpende tu.
Nimpende nitafaidi vingi..
Penzi limetaradadi sasa nami nafaidi.
We mchaga upo kumbeZee umeumia eee.. Unapiga TZ 11 alafu huyo unayemwita dogo anahongwa kausafiri
Valeee... nikuulize wewe upo kweli??We mchaga upo kumbe
Nipo Huku city centre, nipe loc nije kusukuma ndingaaa hiyo shangaziiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Aunty where are you?