Miss liquid
Member
- Apr 25, 2019
- 24
- 15
Utasubiri sana
ahsante sana mkuuIpo siku utayavuka hayo maumivu na itabaki historia..!!
Pole sana mkuu.!
Ahahahahha..Hapana huo ni mfano tu kuonyesha comparison za vigezo vyenu mnavyotumiaga nyie viumbeNingesema neno kama usingeweka 'degree zetu moja'..!!
Enwei, shukrani kwa baraka mkuu.!!
Ahahahahha..Hapana huo ni mfano tu kuonyesha comparison za vigezo vyenu mnavyotumiaga nyie viumbeNingesema neno kama usingeweka 'degree zetu moja'..!!
Enwei, shukrani kwa baraka mkuu.!!
Ahahahahha..Hapana huo ni mfano tu kuonyesha comparison za vigezo vyenu mnavyotumiaga nyie viumbeNingesema neno kama usingeweka 'degree zetu moja'..!!
Enwei, shukrani kwa baraka mkuu.!!
😂😂😂Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Kila mmoja ana vigezo vyake Kama ambavyo ninyi huwa mna vigezo vyenu..Ahahahahha..Hapana huo ni mfano tu kuonyesha comparison za vigezo vyenu mnavyotumiaga nyie viumbe
Nahitaji nijue..if he is innocent or not.
Nahitaji nijue hili..maana wengine wamejifunzia mapenzi ukubwani..
Sent using Jamii Forums mobile app
kama hujampenda ndiyo utaona ni usumbufuUsumbufu unaweza kusababisha ukamchukia mtu au ikapunguza kiasi cha upendo. Nafikiri hii iko pande zote
Umemuoa???Yan me ata sijaelewa nn cha kufanya make wazaz naona wanaendelea na harakat za kuandaa mahar na pia kutufungisha ndoa,
Na sijawah lala naye,, yan nmeona kisa chako ikabid npitie maon ya wadau,, tatizo ni kuwa nampenda kweli na nimwaka sasa toka nimpose na sijawahi mcheat wakati me npo chuon na yeye yupo village.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashakuchoka au hakupengi. huo ndio ukweli maana pia hiyo huwa tabia yangu na wanaume wengi akiwa hana tena time nawe.Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Kwa ufupi tu, hupendwi hapo ni kama una sumbua watu tu. Mtu akupendaye kweli hawezi kosa muda nawe hata wa dakika chache jiongeze.Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Ni huzuniAshakuchoka au hakupengi. huo ndio ukweli maana pia hiyo huwa tabia yangu na wanaume wengi akiwa hana tena time nawe.